Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa

Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA TENDO LA NDOA

Tatizo hili huwapata wote wanawake na wanaume.  Tatizo katika tendo la ndoa ni pana sana, yapo matatizo ya jumla ambayo hutokea pande zote mbili na yapo matatizo yanayowapata wanawake peke yao na yapo yanayowapata wanaume peke yao. Matatizo haya yote tutakayoelezea huchunguzwa na kutibiwa hospitali kuanzia ngazi za hospitali za wilaya, mikoa hadi rufaa. MATATIZO KWA WANAWAKE
Kwa wanawake hukumbwa na matatizo mengi katika...

 

10 years ago

GPL

MAUMIVU UNAPOFANYA TENDO LA NDOA (DYSPAREUNIA)

Tatizo hili huwasumbua baadhi ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, yaani kuanzia miaka 18 hadi 40. Tatizo huweza kuanza ghafla au taratibu pale mwanamke anapofanya tendo. Maumivu haya hutokana na hali ya mabadiliko ukeni ambapo uke huwa mkavu daima au mwanamke anapata vipindi vya ukavu ukeni na katika mlango wa kizazi pia husababisha tatizo hili.
Maumivu yanaweza kuwa ndani ya kizazi, yaani wakati wa tendo unahisi kuna kitu...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA

Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

Natumai muwazima wa afya. Leo katika mada yangu hii, nataka kuzungumzia zaidi sababu za wanaume wengi kukosa hamu ya tendo la ndoa. Kama ilivyo matatizo mengine, tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa kama ilivyo kwa wanawake. Katika makala haya, tutaangalia kwa kina sababu za tatizo hili kwa wanaume na athari zake. Mwili wa mwanadamu uliumbwa na matamanio na si...

 

9 years ago

Habarileo

Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe

WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wengi hawana muda wa tendo la ndoa Japan

Asilimia 50 ya watu wazima nchini Japan hawashiriki katika tendo la ngono kulingana na utafiti hali inayosababisha kupungua kwa idadi ya watu nchini humo.

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA (DYSPAREU)

TAFITI za kitabibu zinaonyesha kuwa mwanamke asikiapo maumivu haya anatakiwa kuchukua hatua za haraka bila kuchelewa kabla afya yake ya uzazi haijazorota na kumletea ugumba. Maumivu wakati wa kushiriki tendo yanaashiria hatari katika afya ya uzazi iwapo yanakuwa na dalili zifuatazo: i. Iwapo anaumia tangu mwanzo wa tendo mpaka mwisho.
ii. Iwapo anaumia muda mchache au hata saa kadhaa baada ya tendo kukamilika.
iii. Iwapo...

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 4

Baada ya wiki iliyopita kuelezea mambo kadhaa yanayosababisha wanaume kukosa hamu ya tendo la ndoa, leo nitaelezea tatizo la kuwahi kufika kileleni Katika vitu ambavyo wanaume wengi hawapendi vijulikane na wenzi wao ni tatizo la kuwahi kufika kileleni. Kila mwanaume hupenda aonekane ni rijali au mwanaume kamili mwenye uwezo wa kushiriki tendo la ndoa bila shida yoyote. Na imezoeleka katika jamii zetu ikiwa mwanaume atakuwa ana...

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA

Wapo ambao wakati wanapofanya mapenzi badala ya kupata raha, husikia maumivu, mwanaume katika uume lakini ni mara chache sana kulinganisha na wanawake. Mwanamke ndiye husumbuliwa zaidi na tatizo hili. Mwanamke anaweza kukosa raha kabisa na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza pale mwanzoni ukeni au kwa ndani zaidi. Maumivu haya pia yanaweza kugawanyika katika makundi mawili. Kwanza ni maumivu wakati wa tendo ambayo ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani