Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe
WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y8moz0H9-U4viFRm2ux*OVWD6FRM7ozzMtfDumLkTNXubXIOy1RRQGLbxUqX2a3*CCGnEJeAnpB8I4*s5LQnVa/mchepuko.jpg)
AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
10 years ago
Habarileo11 Feb
Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu
MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Mazoezi kuimarisha tendo la ndoa hata kwa wazee
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzmVi8fXKz-lbponLKOyM2SIJxBLv-ttW6qgKg8cVKHHX4pHx*aylQhYdIJQIiNhygKiBFahD7OP**ZK21kMsNZt/how_to_deal_with_a_bad_break_up1024x685.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMs4*EPdrSGqXnfK96f7-mpHwGvdIQxmfYE5X3lXPm*f6SLBJbeMt90IcXLpq4HeXV70-St5WyqMneMaGph*h*Gr/unhappyyoungcouplesittingonbed.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
11 years ago
Habarileo30 Apr
Ajinyonga baada ya kumkumbuka mkewe
MKAZI wa Mtoni Kijichi, Richard Kijazi (36) amekutwa amekufa kwa kujinyonga chooni na kuacha ujumbe kwamba amejiua kwa sababu ya kumkumbuka marehemu mkewe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo, alisema jana kuwa Kijazi alijiua juzi saa 11:15 jioni katika maeneo ya Mtoni Kijichi, Wilaya ya Temeke.
11 years ago
Habarileo30 Jul
Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe
MKAZI wa Kijiji cha Vikonge, Kata ya Mpandandogo wilayani Mpanda, Joseph Lukato (52) amejinyonga kwa kujitundika mtini akitumia mtandio wa mkewe baada ya kughadhabika na kuachwa naye.