Mazoezi kuimarisha tendo la ndoa hata kwa wazee
Naendelea kujibu maswali yaliyoulizwa katika mada hii iliyoanzia wiki iliyopita na leo nitafafanua juu ya mazoezi ambayo ni muhimu kumwezesha mtu kuwa na uwezo mzuri wa kufanya tendo la ndoa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Oct
Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe
WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzmVi8fXKz-lbponLKOyM2SIJxBLv-ttW6qgKg8cVKHHX4pHx*aylQhYdIJQIiNhygKiBFahD7OP**ZK21kMsNZt/how_to_deal_with_a_bad_break_up1024x685.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4
Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMs4*EPdrSGqXnfK96f7-mpHwGvdIQxmfYE5X3lXPm*f6SLBJbeMt90IcXLpq4HeXV70-St5WyqMneMaGph*h*Gr/unhappyyoungcouplesittingonbed.jpg?width=650)
KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-5
Natumaini utakuwa u-mzima wa afya kabisa. Kwa wiki kama nne mfululizo tumekuwa tukiangalia juu ya tatizo la wanawake wengi kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia sababu za tatizo hilo na tukaangalia athari zake na wiki iliyopita na kujifunza njia za kutatua tatizo hilo. Kama ilivyo matatizo mengine tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa sana kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
Watu wengi wamekuwa wakiwasiliana nasi wakihusisha haya mambo mawili hasa wanaume pasipo kujua kama yanahusiana kwa ukaribu au laa. Na kwa maana hiyo, leo watu wengi wataweza kujua uhusiano wa haya mambo mawili yaani miungurumo ya tumbo, tumbo kujaa gesi na miungurumo ya hapa na pale katika kushiriki tendo la ndoa au kupungukiwa na nguvu katika kushiriki tendo la ndoa. Tatizo hili kitaalamu huitwa constipation, yaani mtu kuwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrJLElpAtfZWtbW5brcDn2jBhRx0h6UDWnBP5ws4Zga3Uds7wqDCASkw2tNyQZmC553mt-IKdz*6uPv2pM6La9q/painsex1.jpg?width=650)
MATATIZO KATIKA TENDO LA NDOA
Tatizo hili huwapata wote wanawake na wanaume. Tatizo katika tendo la ndoa ni pana sana, yapo matatizo ya jumla ambayo hutokea pande zote mbili na yapo matatizo yanayowapata wanawake peke yao na yapo yanayowapata wanaume peke yao. Matatizo haya yote tutakayoelezea huchunguzwa na kutibiwa hospitali kuanzia ngazi za hospitali za wilaya, mikoa hadi rufaa. MATATIZO KWA WANAWAKE
Kwa wanawake hukumbwa na matatizo mengi katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC6Wh2HHOr*bT2iiROEfI-JPgKz2IxrwAlnVIs2dydwrkEYBpjYkL64JWQAEHS2LiFhPinSsl9GG6oIHglWgJz8/Chanzochatatizolakukosanyege.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA
Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqL5XAAM1Ohk*-wR4Rwoe6R-VkkEyT3iswApPItKQ53gQnMlrXI9kw5ta7u9BlnuegskwoeQMiZXxIoCxe08eCb-/Dyspareunia.jpg?width=650)
MAUMIVU UNAPOFANYA TENDO LA NDOA (DYSPAREUNIA)
Tatizo hili huwasumbua baadhi ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, yaani kuanzia miaka 18 hadi 40. Tatizo huweza kuanza ghafla au taratibu pale mwanamke anapofanya tendo. Maumivu haya hutokana na hali ya mabadiliko ukeni ambapo uke huwa mkavu daima au mwanamke anapata vipindi vya ukavu ukeni na katika mlango wa kizazi pia husababisha tatizo hili.
Maumivu yanaweza kuwa ndani ya kizazi, yaani wakati wa tendo unahisi kuna kitu...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa
Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZHwlIMnY51JJSo76VnLoEiUxx8HsRVeM36qceotLpUNR8vIQeNk2nAG7qKD815221uXY2czWYDxyapSsN36OrZ-113oCq*b0/unhappyyoungcouplesittingonbed.jpg?width=650)
SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Natumai muwazima wa afya. Leo katika mada yangu hii, nataka kuzungumzia zaidi sababu za wanaume wengi kukosa hamu ya tendo la ndoa. Kama ilivyo matatizo mengine, tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa huwakumba na wanaume vilevile ila siyo kwa kiwango kikubwa kama ilivyo kwa wanawake. Katika makala haya, tutaangalia kwa kina sababu za tatizo hili kwa wanaume na athari zake. Mwili wa mwanadamu uliumbwa na matamanio na si...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania