Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Felicien Kabuga: Mahakama ya Ufaransa imeamuru mfanyabiashara huyo wa Rwanda ashtakiwe katika mahakama ya UN

Mahakama nchini Ufaransa imeagiza Félicien Kabuga ambaye anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari ya Rwanda kufikishwa mbele ya mahakama maalum ya Umoja wa mataifa iliopo Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tofauti ya kidini yavunja ndoa India

Maafisa wa polisi nchini India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu kutokana na dini

 

10 years ago

Habarileo

SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake

UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama ya Rufaa yamwachia huru mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Rufani Kanda ya Dar es Salaam imeamuru mfanyabiashara Amnus Athanus aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha, atolewe gerezani.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA

 Mfanyabiashara Mussa Mohamed akiingia katika mahaka ya hakimu Mkazi jijini Dar es Salaam leo.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020  akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA RUGEMALIRA AIAMBIA MAHAKAMA AMEMUANDIKIA BARUA GAVANA BOT ILI KUORODHESHA MAJINA YA WALIOPOKEA FEDHA ZA ESCRO

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii

MFANYABIASHARA James Rugemalira ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa amemuandikia barua Gavana wa Benki Kuu ya Tanzani(BoT), akimuomba amuorodheshee majina ya watu wote waliopokea fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ili ajisafishe kwani yeye hakupokea hata senti moja.

Hata hivyo Gavana alimjibu atatoa orodha hiyo pale atakapopata amri halali ya Mahakama ya kumtaka kufanya hivyo. Pia Rugemalira amedai ameandika notisi kwa taasisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yalalamikiwa kuvunja ndoa

MAHAKAMA ya Mwanzo Namanyere, wilayani Nkasi, imelalamikiwa kuvunja ndoa iliyokuwa na mgogoro bila kugawanya mali iliyochumwa na wanandoa wakiwa pamoja. Maria Tarafa (25), mkazi wa Kijiji cha Isale ambaye ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapya yaibuka ndoa iliyovunjwa na mahakama

SAKATA la ndoa iliyovunjwa na Mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Nkasi, Rukwa limeingia katika sura mpya baada ya kubainika kuwa mume aliyeomba kuvunjwa kwa ndoa yake, Ndebile Kazuri, alimkatisha masomo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa

Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani