Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake

UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU

Na Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Uwazi
Kweli Dunia imefikia ukingoni! Mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Josephine Singano mkazi wa Mburahati jijini Dar, amemlalamikia mumewe, Ruwaichi Wilson Manyanga maarufu kama Dk. Manyanga ambaye ni kiongozi wa huduma ya maombezi iitwayo Shalom ya Kanisa la Efatha lililopo chini ya Mchungaji Josephat Mwingira, kwa kumtelekeza. Mke wa Ruwaichi Wilson, Josephine Singano (anayelia...

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara

MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tofauti ya kidini yavunja ndoa India

Maafisa wa polisi nchini India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu kutokana na dini

 

10 years ago

GPL

NABII AWALAZIMISHA WAFUASI WAKE KULA NYOKA AKIDAI CHOCOLATE

KATIKA hali ya kushangaza, nabii mmoja nchini Afrika Kusini ajulikanaye kwa jina la Penuel Mnguni, kutoka End Time Disciples Ministries, wikiendi iliyopita aliamua kuwalazimisha waumini wake kuna nyoka akidai kuwa amembadili nyoka huyo kuwa chocolate. Nabii huyo alidai kuwa nyoka hawezi kumdhuru mtu yeyote anayemla na hiyo ni ishara kula tayari amebarikiwa. Tuna mamlaka ya kubadilisha kitu chochote na kitakubali maana tuna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pete ya ndoa na umuhimu wake

KARIBU katika Safu ya Urafiki na Mahusiano. Ni matumaini yangu umzima wa afya na nawashukuru kwa maoni yenu. Jumamosi ya leo, tutazungumzia suala zima la kuvaa pete, lakini si kwa...

 

11 years ago

GPL

MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE

Stori: Gladness Mallya MWANA DADA kutoka kiwanda cha muziki na filamu Bongo, Baby Madaha ameonekana kukomalia kuolewa na meneja wake, Joe Kairuki huku akidai kuwa, mwanume huyo ni mume sahihi kwake. Baby Madaha akiwa na meneja wake Joe Kariuki. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha ‘Queen of Swaga’ alisema kutokana na uhusiano wake na Joe kuelekea kwenye ndoa, mara nyingi amekuwa akila bata zake nchini...

 

10 years ago

Bongo5

Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia

Mchumba wa Barnaba, Zubeda amesema anafurahia maisha yake na mpenzi wake Barnaba na kwamba watafunga ndoa hivi karibuni. Zubeda ameiambia Bongo5 kuwa mipango ya ndoa imekamilika na kwamba wanasubiri kuamua tarehe tu. “Tayari ameshatoa pesa ya barua pamoja na mahari, kwahiyo bado tu kupanga tarehe ya ndoa,” amesema Mama Steve. “Barua alitoa toka mwaka jana […]

 

9 years ago

Mtanzania

Usher afunga ndoa na meneja wake

Usher na Grace Miguel (2)NEW YORK, MAREKANI

MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.

Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.

Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.

“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani