SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake
UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0BncM2zmRmAWHOSKImLG1b8cf1*8zm2qeMtIvkDBvgD7A7q*mpS9no4n7ziOXq4QShKexne6XxV4BHGuEePu16MaB/m.jpg)
MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mahakama yavunja ndoa ya mfanyabiashara
MAHAKAMA ya Mwanzo Utemini mjini Singida imeamuru kuvunjwa rasmi kwa ndoa kati ya mfanyabiashara Baltazar Mushi, maarufu kwa jina la 'Sam Mayuni' (34) na mkewe Lucy Msuya (32), ili kuepusha unyanyasaji zaidi kwa mkewe.
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Tofauti ya kidini yavunja ndoa India
10 years ago
Vijimambo20 Nov
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wRLyT8SjvKDnl6l0aEDBybXGewpyBis9AJySvrbf-JqlCAVlUbjAvd8Ylag-I8d6hFZ9eGUq1AdrEahDUyD8RP/1.jpg)
NABII AWALAZIMISHA WAFUASI WAKE KULA NYOKA AKIDAI CHOCOLATE
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Pete ya ndoa na umuhimu wake
KARIBU katika Safu ya Urafiki na Mahusiano. Ni matumaini yangu umzima wa afya na nawashukuru kwa maoni yenu. Jumamosi ya leo, tutazungumzia suala zima la kuvaa pete, lakini si kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmR4Yx33XMyeWO4Wct0At-deFiP9mhsDI1uBBer8enI5WCdpMIMPZrkgyQoDkFKLrLFGn5tHMhq-ugI7lH7CDUA/madaha3.jpg?width=650)
MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE
10 years ago
Bongo502 Feb
Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Usher afunga ndoa na meneja wake
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.
Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.
Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.
“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...