Usher afunga ndoa na meneja wake
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.
Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.
Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.
“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmR4Yx33XMyeWO4Wct0At-deFiP9mhsDI1uBBer8enI5WCdpMIMPZrkgyQoDkFKLrLFGn5tHMhq-ugI7lH7CDUA/madaha3.jpg?width=650)
MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE RAIA WA GABON
10 years ago
Vijimambo07 Jan
LUDACRIS AFUNGA NDOA NA FAB MPENZI WAKE RAIA WA GABON
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4ZQ2sxZJKX5Vgzf*YhoYIp2UfKlttxoq2UiO86n5B35XMrLPDxrQhilB4DXm9lHzmM0SfHSt8h019Z*j3wbl*o/Luda1.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6xKj8MmUNoAFoIDv8rz4bBJCvoKNB9QhWq46xACqqhuKezVKlulKrFkZRPrH3CS*W3l8fL9RlK3ONO1W3E7Bpd/Luda3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6rKjGPoiP4qIg4FGLoFzTkil2*d7iTeCq9gOixoX-Zt6ZGq4PgVRtGmHSrBERvUg1TL4TNBaWroTzNQxdt-Ddp/Luda4.jpg)
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX4odC*nhDu21nhxcFVibiztJMrWWwCmf38aXhGJTTn3Bih0mNfHVboA2ooD4HGpiSNqe0vK2RSuaI8rZKBxaZu3/Luda5.jpg?width=600)
MWANAMUZIKI na mwigizaji Ludacris (37) sasa ni mume wa mtu, alifunga ndoa kwa siri katika msimu wa Sikukuu za Krismasi mwaka jana. Jumanne ya wiki hii wanandoa hao wameshare...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s72-c/nassawe-650x650.jpg)
PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s640/nassawe-650x650.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BYoRtrTBfuE/VdGJanEiokI/AAAAAAABUBY/B6o_uWvCK8U/s640/flavy-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qP1nRtk1ch4/VdGJdxtRjrI/AAAAAAABUCM/-NHn1jYW84Y/s640/flavy-2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Bongo507 Jan
Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yj7BgkVQvmtF7fiJAp3tbip*PWFNMgoUIcWWNqKuAPvq6TlWVfUAHN1HUA5n8ZHzwQLgbZExeoN0dcK3bCJHCzr/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA, MENEJA’KE NDOA NOVEMBA
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Meneja Sauti Sol kufunga ndoa na mwanamitindo
MWANAMITINDO mwenye jina kubwa nchini Kenya, Annabel Onyango na meneja wa kundi la muziki la Sauti Sol, Marek Fuchs, wanataraji kufunga ndoa ya kihistoria nchini hapo.
Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyamoja, wachumba hao wa muda mrefu watafunga ndoa hiyo Septemba 19 na sherehe itafanyika katika hoteli ya Great Rift Valley tofauti na inavyofikiriwa kufanyika mjini ama kijijini kwao.
Wakati wote wa maandalizi ya harusi yao hiyo wapenzi hao wameweka kila kitu chao kitakachotokea kwa kila siku hadi...