Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake

Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.

Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.

J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba

Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, wimbo uliopata umaarufu mkubwa Tanzania miaka michache iliyopita, Jodie kutoka Nigeria amechumbiwa. Kupitia Instagram, J’odie alishare picha ya pete yake ya uchumba aliyovishwa na mume wake mtarajiwa David Nnaji ambaye pia ni boss wake. Nnaji ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album ya kwanza ya J’odie, ‘African […]

 

10 years ago

GPL

MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE

Mwimbaji wa kike wa Nigeria, J’Ordie. MWIMBAJI wa kike wa Nigeria, J’Ordie alipotoa wimbo wa ‘Kuchi Kuchi’ ambao unafanana na nyimbo za Kihindi, wapenda burdani wengi nchini humo walijua wamepata staili mpya ya nyimbo katika tasnia hiyo, lakini wakati wakifikiri kwamba mwimbaji huyo angezidi kutoa nyimbo nyingine, alipotelea katika ukimya. Wakati mashabiki wakijiuliza kilichotokea, mwimbaji huyo mrembo...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi

Muimbaji wa Nigeria, Joy Odiete maarufu kwa jina la J’odie aliyehit na wimbo wake ‘Kuchi Kuchi’, ameweka wazi kuwa yeye bado hajachakachuliwa ni bikra, na yupo tayari kusubiri hadi pale atakaposema ‘I do’ kwa yule atakayekuwa mume wake. J’odie ambaye amekulia kwenye familia ya dini amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni na Saturday Sun. […]

 

9 years ago

GPL

JODIE WA ‘KUCHI KUCHI’ MJAMZITO?

Staa wa Ngoma ya Kuchi Kuchi, Jodie. Lagos, Nigeria STAA wa Ngoma ya Kuchi Kuchi, Jodie huenda mjamzito wa miezi nane kutokana na tumbo lake kuonekana kubwa kwa kipindi cha hivi karibuni. Katika kusherehekea ndoa yake ya kimila na mumewe ambaye pia ni meneja wake, David Nnaji iliyofanyika hivi karibuni, Jodie alionekana muda wote ni mtu wa kuchoka huku tumbo lake likionesha wazi kuwa anakaribia… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Usher afunga ndoa na meneja wake

Usher na Grace Miguel (2)NEW YORK, MAREKANI

MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.

Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.

Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.

“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...

 

9 years ago

Bongo5

Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel

Usher Raymond amerudisha tena title yake ya kuwa mume wa mtu, baada ya kufunga ndoa na girlfriend wake wa muda mrefu Grace Miguel, ambaye pia ni meneja wake. Tetesi za Usher kufunga ndoa zilianza baada ya kuonekana akiwa amevaa pete ya ndoa ya dhahabu alipokuwa vacation huko Havana, Cuba, na baadae E! Online walithibitisha uvumi […]

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE

 Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia

Ludacris sasa ni mume wa mtu. Rapper huyo na muigizaji mwenye miaka 37, Jumanne ya wiki hii ameshare picha za harusi yake na mpenzi wake wa muda mrefu Eudoxie Mbouguiengue ambaye ni raia wa Gabon. Katika picha hiyo Christopher Brian Bridges a.k.a Ludacris aliandika “Why wait? Did the thing before 2015. #mrandmrsrbridges”. Mke wake naye […]

 

11 years ago

GPL

MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE

Stori: Gladness Mallya MWANA DADA kutoka kiwanda cha muziki na filamu Bongo, Baby Madaha ameonekana kukomalia kuolewa na meneja wake, Joe Kairuki huku akidai kuwa, mwanume huyo ni mume sahihi kwake. Baby Madaha akiwa na meneja wake Joe Kariuki. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha ‘Queen of Swaga’ alisema kutokana na uhusiano wake na Joe kuelekea kwenye ndoa, mara nyingi amekuwa akila bata zake nchini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani