Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDzBKdndhRytQQtZpJXY4xJCgYyH81QgSQbd4VlW*4PmBWR5JqoR2jha8AQyF0kr82HjpqpFNkYm9jKlowNbekN/image.aspx.jpg?width=650)
MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSSF0Kl3LwV8VfxBwls339QTdysFRkKUhOPNpE4zw1A0TWdoSWRhyOYCdx9w5bP4aklr8ThGfIFlPR1jl1A9i8b/Jodie1.jpg?width=650)
JODIE WA ‘KUCHI KUCHI’ MJAMZITO?
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Usher afunga ndoa na meneja wake
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.
Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.
Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.
“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...
9 years ago
Bongo528 Sep
Usher afunga ndoa kimya kimya na meneja wake Grace Miguel
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s72-c/nassawe-650x650.jpg)
PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-qrgo032W6pQ/VdGJZeE54lI/AAAAAAABUBQ/dNYYmiHiC6k/s640/nassawe-650x650.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BYoRtrTBfuE/VdGJanEiokI/AAAAAAABUBY/B6o_uWvCK8U/s640/flavy-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qP1nRtk1ch4/VdGJdxtRjrI/AAAAAAABUCM/-NHn1jYW84Y/s640/flavy-2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Bongo507 Jan
Picha: Ludacris afunga ndoa na mpenzi wake raia wa Gabon siku hiyo hiyo aliyomchumbia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmR4Yx33XMyeWO4Wct0At-deFiP9mhsDI1uBBer8enI5WCdpMIMPZrkgyQoDkFKLrLFGn5tHMhq-ugI7lH7CDUA/madaha3.jpg?width=650)
MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE