JODIE WA ‘KUCHI KUCHI’ MJAMZITO?
![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGSSF0Kl3LwV8VfxBwls339QTdysFRkKUhOPNpE4zw1A0TWdoSWRhyOYCdx9w5bP4aklr8ThGfIFlPR1jl1A9i8b/Jodie1.jpg?width=650)
Staa wa Ngoma ya Kuchi Kuchi, Jodie. Lagos, Nigeria STAA wa Ngoma ya Kuchi Kuchi, Jodie huenda mjamzito wa miezi nane kutokana na tumbo lake kuonekana kubwa kwa kipindi cha hivi karibuni. Katika kusherehekea ndoa yake ya kimila na mumewe ambaye pia ni meneja wake, David Nnaji iliyofanyika hivi karibuni, Jodie alionekana muda wote ni mtu wa kuchoka huku tumbo lake likionesha wazi kuwa anakaribia… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDzBKdndhRytQQtZpJXY4xJCgYyH81QgSQbd4VlW*4PmBWR5JqoR2jha8AQyF0kr82HjpqpFNkYm9jKlowNbekN/image.aspx.jpg?width=650)
MWIMBAJI WA ‘KUCHI KUCHI’ ATOA SABABU YA UKIMYA WAKE
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Mwimbaji wa ‘Kuchi Kuchi’, J’odie wa Nigeria avishwa pete ya uchumba
9 years ago
Bongo504 Nov
Picha: J’odie (mwimbaji wa Kuchi Kuchi) afunga ndoa na meneja wake
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/David-Jodie-WEDDaily001-300x194.jpg)
Hit maker wa ‘Kuchi Kuchi (oh Baby), J’odie kutoka Nigeria amefunga ndoa na meneja wake David Nnaji ambaye pia ni mwigizaji wa Nollywood.
Ndoa yao ya kimila ilifungwa weekend iliyopita Oct.31, na sherehe kuhudhuriwa na watu wachache wakiwemo wana familia huko Nigeria.
J’odie ambaye jina lake halisi ni Joy Odiete alivishwa pete ya uchumba mwishoni mwa mwezi September na Nnaji, ambaye ni CEO wa label ya Dun Entertainment ambayo ndio ilisimamia album yake ya kwanza ‘African Woman’ iliyotoka...
10 years ago
Bongo507 Jan
‘Nitabaki bikra hadi nitakapoolewa’ — J’odie wa kuchi kuchi
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Jodie afurahia maisha ya ndoa na mumewe
Joddie akiwa na mpenzi wake David Nnaji .
WANANDOA Joddie ambaye ni mwanamuziki na David Nnaji mwigizaji, wote wakiwa raia wa Nigeria, hivi sasa ‘wametoweka’ katika macho ya vyombo vya habari ambapo wameelekeza nadhari yao katika maisha yao binafsi nyumbani kwao.
Hivi sasa Jodie ambaye ni mjamzito yuko bize akihangaikia masuala ya familia yake huku wakisubiri kuwasili kwa kichanga chao cha kwanza mwaka kesho (2016).
Wawili hao walionekana majuzi katika vyombo vya habari baada ya kutoa picha...
5 years ago
CinemaBlend23 Feb
Why Ben Affleck Is Nervous To Film His New Movie With Matt Damon, Adam Driver, And Jodie Comer
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5XlY2GbYDgWnZinyaSdm5qAwtanOlkbJ62P5GbUl3EEnaYknFpDeghaZmMRV8BpD9gjV6PoFWQdvWeGAPIRVYW/timthumb.php.jpg?width=650)
SHILOLE MJAMZITO?
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Jokate mjamzito?
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo, anadaiwa kuwa na ujauzito wa miezi miwili wa mwanamuziki, Ali Kiba anayedaiwa kuwa na uhusiano naye wa kimapenzi ingawa mara kwa mara wamekuwa wakikana uhusiano huo.
Kwa mujibu wa mtandao wa kenyamoja taarifa za mrembo huyo mwenye haiba na mvuto kuwa na ujauzito wa miezi hiyo miwili zilianzia katika blog mbalimbali zinazomilikiwa na Watanzania.
Lakini wakati akizungumza katika mahojiano ya redio Clouds FM, Ali Kiba alisema hakutarajia mtoto na Jokate, huku...
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Kim kardashian ni mjamzito