Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokate mjamzito?

JOKATE_MWEGELO4MWANAMITINDO Jokate Mwegelo, anadaiwa kuwa na ujauzito wa miezi miwili wa mwanamuziki, Ali Kiba anayedaiwa kuwa na uhusiano naye wa kimapenzi ingawa mara kwa mara wamekuwa wakikana uhusiano huo.

Kwa mujibu wa mtandao wa kenyamoja taarifa za mrembo huyo mwenye haiba na mvuto kuwa na ujauzito wa miezi hiyo miwili zilianzia katika blog mbalimbali zinazomilikiwa na Watanzania.

Lakini wakati akizungumza katika mahojiano ya redio Clouds FM, Ali Kiba alisema hakutarajia mtoto na Jokate, huku...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE


Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE MJAMZITO?

Mussa Mateja
Minong’ono! Tumbo la staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ limezua maswali kwa wadau kibao kama ni la kawaida au tayari mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Muziwanda’ ameshampachika ujauzito. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Shilole au Shishi Baby alizua minong’ono hiyo wikiendi iliyopita nyumbani kwa mwigizaji, Aunt Ezekiel Grayson maeneo ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim kardashian ni mjamzito

Nyota wa kipindi cha runinga nchini Marekani ambaye ameolewa na msanii Kanye West amefichua katika kipindi cha keeping up with the Kardashian kwamba ni mjamzito.

 

11 years ago

CloudsFM

AUNTY EZEKIEL MJAMZITO?

Habari zimeenea kuwa staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel kuwa ni mjamzito,kupitia mtandao wa Instagram baadhi ya mashabiki wake wamekuwa wakimuuliza kuwa kama ni mjamzito kutokana na muonekano wa tumbo lake kwa sasa kuwa ni kubwa kama linavyoonekana kwenye picha wakati akimlisha keki msanii mwenzake JB wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa.Baadhi ya maswali yalikuwa hivi: mamibeuty wow mum kijacho look gud my dia congrlnt@auntyezekiel jweekendy_girl Mbona km mama...

 

10 years ago

GPL

MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA

Dustan Shekidele, Morogoro

Haijakaa poa! Katika hali isiyo ya kawaida, mjamzito aliyefahamika kwa jina la Jamila Jalala amepambana na polisi akigoma kuhama kwenye nyumba ya mwarabu aliyokuwa akiishi zaidi ya miaka mitano hivyo kutimuliwa kwa nguvu.

Mkasa huo wa kusikitisha ulioshuhudiwa live na mwanahabari wetu ulijiri kwenye nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Mindu Kata ya Uwanja wa Taifa mkoani hapa.

Awali, mmiliki wa...

 

10 years ago

GPL

KALETE UTUMBO WA MBU MJAMZITO!

Kuna kitu kimethibitishwa kisayansi wiki hii, kuwa Wabongo ndiyo namba wani kwa ushirikina Afrika nzima. Yaani hata Wanaijeria na muvi zao tunazoziona kumbe hakuna kitu, sisi ndiyo mabingwa. Mi sibishi, kwani wiki iliyopita tu nililazimika kutumia mbinu hizo kumpata mdada mmoja ambaye alikuwa akihangaisha akili yangu sana tangu aanze kazi ofisini kwetu. Siku hiyo bosi kafungua mlango wa chumba cha ofisi yetu, akaingia na binti...

 

11 years ago

GPL

MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO

Stori: Shakoor Jongo Kama ni kweli hii ni habari njema! Siku chache baada ya kuliambia gazeti ndugu la hili, Amani kuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa chango hivyo inambidi azae, super lady wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kuwa mjamzito, Ijumaa Wikienda limechimba kila ‘engo’. Super lady wa sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’. MUONEKANO
Habari zilieleza kwamba...

 

10 years ago

GPL

UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO

Malaria ni maambukizi ya seli nyekundu za damu inayosababishwa na vimelea vinavyoitwa kitaalamu, Plasmodiumu. Plasmodiumu hawa husambazwa na mbu   aina ya Anofelesi. Mbu hutoa parasiti za malaria na kukomaa katika seli nyekundu za damu na mamilioni ya parasiti hukusanyika katika plasenta ya mjamzito.Malaria ni hatari zaidi kwa wajawazito kuliko watu ambao hawana mimba. Dalili za malaria
Mama mjamzito anakuwa na dalili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani