Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE MJAMZITO?

Mussa Mateja
Minong’ono! Tumbo la staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ limezua maswali kwa wadau kibao kama ni la kawaida au tayari mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Muziwanda’ ameshampachika ujauzito. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Shilole au Shishi Baby alizua minong’ono hiyo wikiendi iliyopita nyumbani kwa mwigizaji, Aunt Ezekiel Grayson maeneo ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole

Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.

‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

10 years ago

Bongo5

Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)

Licha ya kuwa Shilole amefanikiwa zaidi kwenye muziki, lakini ameweka wazi kuwa hajaitupa kabisa fani yake ya uigizaji ambayo alianza nayo kabla ya muziki. Akizungumza kupitia kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm wakati akitambulisha wimbo wake mpya Dec.15, amesema kuwa bado anajipanga na atakuja kutoa filamu yake mpya siku za usoni. “Saizi nimejikita sana […]

 

9 years ago

Mtanzania

Jokate mjamzito?

JOKATE_MWEGELO4MWANAMITINDO Jokate Mwegelo, anadaiwa kuwa na ujauzito wa miezi miwili wa mwanamuziki, Ali Kiba anayedaiwa kuwa na uhusiano naye wa kimapenzi ingawa mara kwa mara wamekuwa wakikana uhusiano huo.

Kwa mujibu wa mtandao wa kenyamoja taarifa za mrembo huyo mwenye haiba na mvuto kuwa na ujauzito wa miezi hiyo miwili zilianzia katika blog mbalimbali zinazomilikiwa na Watanzania.

Lakini wakati akizungumza katika mahojiano ya redio Clouds FM, Ali Kiba alisema hakutarajia mtoto na Jokate, huku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim kardashian ni mjamzito

Nyota wa kipindi cha runinga nchini Marekani ambaye ameolewa na msanii Kanye West amefichua katika kipindi cha keeping up with the Kardashian kwamba ni mjamzito.

 

10 years ago

CloudsFM

AUNTY EZEKIEL MJAMZITO?

Habari zimeenea kuwa staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel kuwa ni mjamzito,kupitia mtandao wa Instagram baadhi ya mashabiki wake wamekuwa wakimuuliza kuwa kama ni mjamzito kutokana na muonekano wa tumbo lake kwa sasa kuwa ni kubwa kama linavyoonekana kwenye picha wakati akimlisha keki msanii mwenzake JB wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa.Baadhi ya maswali yalikuwa hivi: mamibeuty wow mum kijacho look gud my dia congrlnt@auntyezekiel jweekendy_girl Mbona km mama...

 

11 years ago

GPL

UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITO -2

BAADA ya kueleza madhara ya upungufu wa damu kwa wajawazito kwa kina wiki iliyopita, leo tuangalie madhara kwa mimba na mtoto atakayezaliwa. Madhara ni pamoja na mtoto kuzaliwa njiti, mtoto kuzaliwa na uzito mdogo, mtoto kuwa na score ndogo kitaalamu huitwa poor Apgar score, mtoto kuzaliwa akiwa amechoka yaani fetal distress na hutokea upungufu wa damu kwa mtoto. Watoto wanaozaliwa wakiwa na upungufu wa damu hukua kwa tabu, huwa...

 

9 years ago

GPL

KALETE UTUMBO WA MBU MJAMZITO!

Kuna kitu kimethibitishwa kisayansi wiki hii, kuwa Wabongo ndiyo namba wani kwa ushirikina Afrika nzima. Yaani hata Wanaijeria na muvi zao tunazoziona kumbe hakuna kitu, sisi ndiyo mabingwa. Mi sibishi, kwani wiki iliyopita tu nililazimika kutumia mbinu hizo kumpata mdada mmoja ambaye alikuwa akihangaisha akili yangu sana tangu aanze kazi ofisini kwetu. Siku hiyo bosi kafungua mlango wa chumba cha ofisi yetu, akaingia na binti...

 

10 years ago

GPL

MJAMZITO ATIMULIWA KWENYE NYUMBA

Dustan Shekidele, Morogoro

Haijakaa poa! Katika hali isiyo ya kawaida, mjamzito aliyefahamika kwa jina la Jamila Jalala amepambana na polisi akigoma kuhama kwenye nyumba ya mwarabu aliyokuwa akiishi zaidi ya miaka mitano hivyo kutimuliwa kwa nguvu.

Mkasa huo wa kusikitisha ulioshuhudiwa live na mwanahabari wetu ulijiri kwenye nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Mindu Kata ya Uwanja wa Taifa mkoani hapa.

Awali, mmiliki wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani