Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE


Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AIPONGEZA TAASISI YA DK MSUYA FOUNDATION KWA KUKARABATI SAMANI ZA SHULE YA SEKONDARI IBIHWA


Charles James, Michuzi TV

UZALENDO! Ndio kauli ambayo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameitumia kuipongeza Taasisi ya Dk Msuya Foundation kwa kuwezesha kusaidia ukarabati samani za Shule ya Sekondari Ibihwa iliyopo wilayani Bahi, Dodoma.

Waziri Jafo ameipongeza taasisi hiyo inayoongozwa na Dk Ombeni Msuya kwa moyo wao wa kizalendo uliowezesha ukarabati huo wa Viti 76 na Meza 45 kwenye shule hiyo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua elimu nchini.

Akizungumza...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO APONGEZA KAZI KUBWA INAYOFANYWA NA DC JOKATE KATIKA SEKTA YA ELIMU NA AFYA KISARAWE

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe Seleman Jafo amesema kukamilika kwa mradi wa maji wa Wilaya ya Kisarawe ulioigharimu Serikali kiasi cha zaidi ya Sh Bilioni 10, kutazidi  kukuza maendeleo ya wilaya hiyo ambayo kwa kipindi cha hivi karibuni imeshuhudiwa ikipiga hatua kubwa kupitia sekta za elimu pamoja na afya.

Akizungumza wakati akifungua kongamano la ‘Mama lishe’ lililowakutanisha mama lishe mbalimbali wilayani humo, Waziri Jafo  pia alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkuu wa Wilaya...

 

9 years ago

GPL

TAMASHA LA JOKATE LATIKISA SEKONDARI YA JANGWANI, DAR

Staa wa Bongo fleva, Ally Kiba na Jokate Mwegelo 'Kidoti' wakikamua jukwaani. Kiba na madenti wakishambulia jukwaa. Wanafunzi wa shule mbalimbali za wasichana jijini Dar, wakifuatilia kwa makini tamasha hilo.…

 

10 years ago

GPL

JOKATE AFUNGUKIA USHINDI WAKE!

BRIGHTON MASALU SIKU chache baada ya kupata ushindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike kupitia filamu ya Mikono Salama, muigizaji Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kamwe hakubahatisha na kwamba ataendelea kuongeza bidii katika uigizaji wake japo hajaweka nia thabiti juu ya kazi hiyo. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HwWeQC

 

5 years ago

Michuzi

Spika Ndugai ampeleka Jafo Site Inapojengwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge






***************************

Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amempeleka Waziri wa Nchi, OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo eneo inapojengwa shule maalumu ya wasichana itakayojulikana kama Shule ya Sekondari ya Wasichana Bunge inayojengwa katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma

Akiwa katika eneo hilo la ujenzi Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai amesema ni vyema Waziri anayehusika na uendeshaji na usimamizi wa shule akajua mapema sehemu...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA

Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.

Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.

Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi  ya Ushauri ya Tarura ambayo...

 

10 years ago

GPL

JOKATE ATINGA NDANI YA GLOBAL TV, AFUNGUKIA BIASHARA NA UHUSIANO WAKE NA MASTAA

Jokate (katikati) akizungumza jambo na mdamini wake mkuu, Deng Guoxun . Jokate akifafanua jambo mbele ya waandishi (hawapo pichani). Jokate akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa waandishi.…

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Jokate amfanyia interview ex wake Diamond, mashabiki wadai wanaoneana aibu!

Msimu wa pili wa kipindi cha The One Show cha TV1 umeanza. Kinachofanyika kwa sasa ni kurekodiwa kwa vipindi hivyo vitakavyoanza kurushwa hivi karibuni. Jokate Mwegelo na Diamond wakiwa kwenye studio za TV1 Leo, watangazaji wa kipindi hicho, Ezden Jumanne na Jokate Mwegelo walikuwa wakimhoji Diamond Platnumz. Diamond ameshare picha kwenye Instagram akiwa amekaa kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani