WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BrBMIToSWA4/XkO79BKDD3I/AAAAAAACHiU/8x96pHppnCMQSrcGrTwhft7BGYsWN0GzQCLcBGAsYHQ/s72-c/waziri-mkuuuu-1.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA WADAIWA WOTE NHC WALIPE MADENI KABLA YA MEI 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-BrBMIToSWA4/XkO79BKDD3I/AAAAAAACHiU/8x96pHppnCMQSrcGrTwhft7BGYsWN0GzQCLcBGAsYHQ/s1600/waziri-mkuuuu-1.jpg)
“Orodha ya wadaiwa niliyonayo hapa ni kubwa na wengine inaonesha wamehama na wameondoka bila kumalizia kodi zao. Hawa wote ni lazima tuwafuatilie na walipe madeni yao,” amesema.
Ametoa agizo hilo leo (Jumanne, Februari 11, 2020) wakati akizungumza na viongozi na wajumbe wa...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Agizo la JK mwiba kwa watendaji wababaishaji
MEYA wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amesema manispaa hiyo ipo tayari kuwapoteza watendaji wababaishaji kuliko kupatwa aibu kwa kushindwa kukamilisha agizo la ujenzi wa maabara lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zmsx5E3xpUw/XlaWssFvkRI/AAAAAAALfmQ/Rq4pKCTRAsc3esvzBI9w-kEhDnkXTqXnQCLcBGAsYHQ/s72-c/0a0cf642-1c5c-4870-be8e-ed316fa40489.jpg)
JAFO: KUKAMILIKA OFISI ZA TARURA TUTAOKOA SH MILIONI 500 TULIZOKUA TUKILIPA KAMA KODI
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema kukamilika kwa ujenzi wa jengo la ofisi za Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma kutaokoa zaidi ya Sh Milioni 500 ambazo zilikua zikitumika kama kodi kila mwaka.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo baada ya kukagua ujenzi wa jengo hilo la ghorofa mbili ambalo amesema limejengwa kwa fedha za ndani.
Amesema kukamilika huko kwa ofisi hizo tena kwa kutumia...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Wanasiasa hawa wachukuliwe hatua za kinidhamu
WALIOWAHI kushika nyadhifa kubwa serikalini wanapotosha vijana wetu katika majukwaa ya kisiasa kw
Mwandishi Wetu
5 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI SITAKI KUSIKIA MGAO WA UMEME,AAGIZA ABUBAKARI KUCHULIWA HATUA KALI
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Iringa katika bwawa la Mtera akitoa katazo la kuwepo kwa mgao wa umeme hapa nchini
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani akiwa mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela alipofanya ziara katika bwawa la Mtera
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Waziriwa nishati Dkt Medard Kalemani amepiga marufuku kwa
uongozi wa TANESCO kutoa nishati ya umeme kwa mgao wakati hakuna tatizo lolote la uzalishaji katika vituo vyote...
10 years ago
Habarileo25 Nov
TUCTA: Waliohusika sakata la Escrow wachukuliwe hatua
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema waliohusika na wizi katika akaunti ya Escrow, iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuchukuliwa hatua kali na shirikisho hilo halitokubaliana na jitihada zozote za kufunika wizi huo.