TUCTA: Waliohusika sakata la Escrow wachukuliwe hatua
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema waliohusika na wizi katika akaunti ya Escrow, iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuchukuliwa hatua kali na shirikisho hilo halitokubaliana na jitihada zozote za kufunika wizi huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
10 years ago
Vijimambo23 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s72-c/DSC_4297.jpg)
UKAWA WACHARUKA, WASEMA HATUA ZA JK DHIDI YA WATUHUMIWA SAKATA LA ESCROW HAZITOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s640/DSC_4297.jpg)
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Wanasiasa hawa wachukuliwe hatua za kinidhamu
WALIOWAHI kushika nyadhifa kubwa serikalini wanapotosha vijana wetu katika majukwaa ya kisiasa kw
Mwandishi Wetu
9 years ago
StarTV24 Nov
Kufutwa Uchaguzi Zanzibar Waliohusika watakiwa kuchukuliwa hatua
Shirikisho la vyuo vikuu Zanzibar limeomba kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya mtu yeyote aliyehusika na kusababisha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar bila kujali cheo ama wadhifa wake.
Akisoma taarifa ya wasomi hao wanaounga mkono ccm mbele ya wanahabari visiwani Zanzibar Makamu mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vya elimu ya juu wanaunga mkono CCM Zanzibar Hamid Saleh Muhina anasema maeneo mengi ya hujuma katika uchaguzi huo yamebainika ila tuma na baadhi ya makamishna kukaa kimya...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Dk Bilal: Wanaohujumu miundombinu nchini wachukuliwe hatua za kisheria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
10 years ago
MichuziMchezaji Hamis Tambwe alia na TFF,atawaka wanaoleta vurugu wachukuliwe hatua
Mshambuliaji Hamis Tambwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting kwa kitendo cha kumshambulia na kumtolea lugha chafu uwanjani ikiwemo kumbagua kwa kumuita mkimbizi.
Akizungumza Makao Makuu ya klabu ya Yanga iliyopo mtaa wa Twiga na Jangwani leo, Tambwe alisema kuwa kitendo alichofanyiwa ni cha kinyama na anakilaani kwa nguvu zote, na anataka aelezwe wazi iwapo wachezaji kutoka mataifa mengine hawatakiwi kucheza Tanzania.
"Uwanja...