Wanasiasa hawa wachukuliwe hatua za kinidhamu
WALIOWAHI kushika nyadhifa kubwa serikalini wanapotosha vijana wetu katika majukwaa ya kisiasa kw
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
10 years ago
Mwananchi24 Dec
HATUA ZA KINIDHAMU: Dhoruba la Escrow lamkumba Maswi
10 years ago
Habarileo25 Nov
TUCTA: Waliohusika sakata la Escrow wachukuliwe hatua
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema waliohusika na wizi katika akaunti ya Escrow, iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuchukuliwa hatua kali na shirikisho hilo halitokubaliana na jitihada zozote za kufunika wizi huo.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Dk Bilal: Wanaohujumu miundombinu nchini wachukuliwe hatua za kisheria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E8mJUK_JVI0/Xs-p9zqN_WI/AAAAAAALr2Q/ydZ0QXZ3mnQvI_fMPRTyGjfxxaCrC3U1wCLcBGAsYHQ/s72-c/f07db979-98b6-4e24-afc3-1b9e975a0ec1.jpg)
WAZIRI JAFO AAGIZA WATENDAJI WOTE WABABAISHAJI TARURA WACHUKULIWE HATUA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura), Victor Seff kuwachukulia hatua watendaji wote wababaishaji kwenye ngazi ya Mikoa na Halmashauri.
Jafo amesema kuna watumishi katika ngazi za Mikoa ambao wamekua wakikwamisha spidi ya wakala huo katika kuwaletea maendeleo watanzania.
Waziri Jafo ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wakati akiizindua rasmi Bodi ya Ushauri ya Tarura ambayo...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe
10 years ago
MichuziMchezaji Hamis Tambwe alia na TFF,atawaka wanaoleta vurugu wachukuliwe hatua
Mshambuliaji Hamis Tambwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuchukua hatua stahiki dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting kwa kitendo cha kumshambulia na kumtolea lugha chafu uwanjani ikiwemo kumbagua kwa kumuita mkimbizi.
Akizungumza Makao Makuu ya klabu ya Yanga iliyopo mtaa wa Twiga na Jangwani leo, Tambwe alisema kuwa kitendo alichofanyiwa ni cha kinyama na anakilaani kwa nguvu zote, na anataka aelezwe wazi iwapo wachezaji kutoka mataifa mengine hawatakiwi kucheza Tanzania.
"Uwanja...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s72-c/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu yalaani hatua za Viongozi kuwaweka rumande watumishi wa umma kwa makosa ya kinidhamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s640/index.jpg)
9 years ago
StarTV26 Dec
Jeshi la Polisi latakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu askari wanaotoa siri za jeshi hilo
Jeshi la polisi mkoani Tabora limeagizwa kuwachukulia hatua za kinidhamu za kijeshi askari polisi ambao wanajihusisha na vitendo vya kihalifu na utoaji siri za jeshi kwa wahalifu kwa makusudi ya kujipatia kipato.
Agizi hilo limetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi na Askari wasio waaminifu wanaovujisha siri za kupambana na uhalifu.
Agizo hilo la Mkuu wa mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila amelitoa katika hafla...