HATUA ZA KINIDHAMU: Dhoruba la Escrow lamkumba Maswi
>Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amemsimamisha kazi kwa muda, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakimu Maswi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma kuhusu ushiriki wake katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Wanasiasa hawa wachukuliwe hatua za kinidhamu
WALIOWAHI kushika nyadhifa kubwa serikalini wanapotosha vijana wetu katika majukwaa ya kisiasa kw
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi26 Nov
DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s72-c/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu yalaani hatua za Viongozi kuwaweka rumande watumishi wa umma kwa makosa ya kinidhamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-KxzXKOo8pPM/Vmwj_acD4gI/AAAAAAAIL4E/5h9qQci7yZ8/s640/index.jpg)
9 years ago
StarTV26 Dec
Jeshi la Polisi latakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu askari wanaotoa siri za jeshi hilo
Jeshi la polisi mkoani Tabora limeagizwa kuwachukulia hatua za kinidhamu za kijeshi askari polisi ambao wanajihusisha na vitendo vya kihalifu na utoaji siri za jeshi kwa wahalifu kwa makusudi ya kujipatia kipato.
Agizi hilo limetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi na Askari wasio waaminifu wanaovujisha siri za kupambana na uhalifu.
Agizo hilo la Mkuu wa mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila amelitoa katika hafla...
10 years ago
IPPmedia24 Dec
Escrow account fiasco: Maswi suspended
IPPmedia
Chief Secretary Ombeni Sefue has suspended the Permanent Secretary to the Ministry of Energy and Minerals, Eliakim Maswi, pending investigation on his involvement in the Tegeta escrow account scandal. According to a statement release by the State ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n8eNq4YKXds/VUzPrRFDMrI/AAAAAAAHWUQ/1bD0xbVYTUg/s640/unnamed%2B(35).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Mwananchi29 Nov
‘Waliochukua fedha za Escrow wachukuliwe hatua’
10 years ago
Habarileo25 Nov
TUCTA: Waliohusika sakata la Escrow wachukuliwe hatua
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema waliohusika na wizi katika akaunti ya Escrow, iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kuchukuliwa hatua kali na shirikisho hilo halitokubaliana na jitihada zozote za kufunika wizi huo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10