Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe

Siku chache baada ya uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (Tefa) kufanyika bado hali haijatulia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TFF YAIRUHUSU DRFA KUENDELEA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA TEFA,KAMA ULIVYOPANGWA KUFANYIKA KESHO.

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tff imekiruhusu chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA kuendelea na mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa chama cha soka wilaya ya Temeke (TEFA) kama ulivyopangwa na kamati ya uchaguzi ya chama hicho.
Baada ya ruhusa hiyo Uongozi wa DRFA umemuandikia barua katibu wa TEFA Kasim Mustapha ili aijulishe kamati ya uchaguzi ya chama hicho kuendelea na mchakato huo kama kawaida.

Awali TFF iliiandikia barua DRFA kushauri kusimamishwa kwa uchaguzi huo,kutokana na...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA

Kamati ya uchaguzi ya chama cha soka mkoa wa Dar e salaam DRFA,imeshindwa kutekeleza agizo la lililotolewa na mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF la kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa chama cha soka wilaya ya temeke TEFA uliopangwa kufanyika jumapili agosti 23/2015.
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...

 

10 years ago

Michuzi

DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam

Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam DRFA, kimetaja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam,inayotarajia kuanza kutimua vumbi mapema mwezi huu.Katika kundi (A) limepangwa kuwa na timu za Simba U20,Red Coast,Sifa UTD,Shababi,Ukonga UTD,Zakhem,Ugimbi,Beirahotspurs na Pan Africa.Katika kundi (B) litakuwa na timu za Yanga U20,Stakishari,FFU,New Kunduchi,Sinza Stars,Changanyikeni,Tuamoyo,Sifapilitan na Azania Unga.
Ligi hiyo ya mkoa...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

TFF yataka jezi mpya za soka Tanzania

Shirikisho la kandanda Tanzania linataka kubadili jezi za timu ya taifa kutoka zilizopo sasa

 

9 years ago

Raia Mwema

Wanasiasa hawa wachukuliwe hatua za kinidhamu

WALIOWAHI kushika nyadhifa kubwa serikalini wanapotosha vijana wetu katika majukwaa ya kisiasa kw

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:hatua zichukuliwe dhidi ya Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametaka dunia kuchukua hatua haraka kupambana na ebola

 

10 years ago

GPL

ZICHUKULIWE HATUA HARAKA KUEPUKA JANGA LA MAFURIKO

Ndugu zangu, tunapaswa kumshukuru Mungu kwa wema wake anaotufanyia kwa kutulinda sisi tulio hai, hivyo basi jina lake lihimidiwe daima. Wiki iliyopita tulishuhudia au kusikia tukio la kusikitisha sana wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo vifo vya watu zaidi ya 45 viliripotiwa baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo. Katika tukio hilo lilitokea katika Kijiji cha Mwakata kilichopo...

 

10 years ago

Mwananchi

HATUA ZA KINIDHAMU: Dhoruba la Escrow lamkumba Maswi

>Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amemsimamisha kazi kwa muda, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakimu Maswi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma kuhusu ushiriki wake katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani