Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama:hatua zichukuliwe dhidi ya Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametaka dunia kuchukua hatua haraka kupambana na ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hatua dhidi ya Ebola kuimarishwa

Kiwango cha maambukizi ya virusi vya Ebola yanaonekana kuwa makubwa kuliko ilivyokadiriwa,vifo vyafikia 1,069.

 

10 years ago

GPL

ZICHUKULIWE HATUA HARAKA KUEPUKA JANGA LA MAFURIKO

Ndugu zangu, tunapaswa kumshukuru Mungu kwa wema wake anaotufanyia kwa kutulinda sisi tulio hai, hivyo basi jina lake lihimidiwe daima. Wiki iliyopita tulishuhudia au kusikia tukio la kusikitisha sana wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo vifo vya watu zaidi ya 45 viliripotiwa baada ya nyumba zao kuanguka kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo. Katika tukio hilo lilitokea katika Kijiji cha Mwakata kilichopo...

 

11 years ago

Mwananchi

Hatua kali zichukuliwe majanga ya meli Bahari ya Hindi

Matukio ya ajali za Bahari ya Hindi kwa upande wa Zanzibar yamekuwa yakitokea mara kwa mara licha ya ahadi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kwamba wanafanya kila aina ya juhudi kuhakikisha katu hayatokei.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe

Simon Bowers Tweets

Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.

Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...

 

9 years ago

Mwananchi

DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe

Siku chache baada ya uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (Tefa) kufanyika bado hali haijatulia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.

Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq wapiga hatua dhidi ya IS

Wanajeshi wa Iraq wamepiga hatua kwenye operesheni yao dhidi ya wapiganaji wa Islamic State mjini Ramadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lapiga hatua dhidi ya IS

majeshi ya nchi ya Iraq kwa mara nyingine tena, yamepiga hatua kubwa katika juhudi zao za kuutwa kabisa mji wa Tikrit kutoka kwa IS

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani