Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Ripoti ya CAG Dar
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Hatua kali zichukuliwe majanga ya meli Bahari ya Hindi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Rais Kikwete apokea Ripoti ya CAG, ikulu jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akizungumza wakati wa kukabidhi Ripoti yake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-GY_QfLXd-dI/VRVVlXBNmUI/AAAAAAAHNn0/8AyQRTXlba8/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFBq45YIjfw/VRVVlkaxH4I/AAAAAAAHNn4/QUmrngD10xk/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dxcZvVkq42E/VEkVgfeuyaI/AAAAAAAGs-s/dVCHYTLPBPc/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe
Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.
Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
PAC yajadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2012 baada ya ripoti ya CAG, kwa shirika la bima la taifa (NIC)
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vRwGnH4JXeM/Xnyejo7W6TI/AAAAAAALlHo/f5x7obnD1eMrP6PBAQFsOdo7sV805g8NwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vRwGnH4JXeM/Xnyejo7W6TI/AAAAAAALlHo/f5x7obnD1eMrP6PBAQFsOdo7sV805g8NwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)