KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAJADILI HESABU ZA MWAKA WA FEDHA WA 31 DESEMBA, 2012 BAADA YA RIPOTI YA CAG, KWA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gw9jzbNT4rM/VEkViYtqFAI/AAAAAAAGs_Q/Ju_LZ8YQLoM/s72-c/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
PAC yajadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2012 baada ya ripoti ya CAG, kwa shirika la bima la taifa (NIC)
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Zitto Kabwe akiongoza kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili hesabu za mwaka wa fedha wa 31 Desemba, 2013 kwa Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Mbunge wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Ismail Rage akichangia mada wakati wa kamati hiyo siku ya tarehe 23 Oktoba, 2014 katika Ofisi ndogo ya Bunge...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ikh6Pr542uo/VTZrkayg5pI/AAAAAAAHSRU/4n2Yodj1hxc/s72-c/7.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAUZA NYUMBA KWA WAKALA WA MAJENGO YA SERIKALI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ikh6Pr542uo/VTZrkayg5pI/AAAAAAAHSRU/4n2Yodj1hxc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nG0BuuwQvzU/VTZrj6UWejI/AAAAAAAHSRQ/934aB6QA3g4/s1600/6.jpg)
10 years ago
Zitto Kabwe, MB04 Jan
RATIBA -KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) JANUARI 2015
KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC)
RASIMU YA RATIBA YA UKAGUZI WA MIRADI NA KUJADILI HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA UMMA KUANZIA TAREHE 05 HADI 24 JANUARI 2015,
MKOA WA MOROGORO NA OFISI NDOGO YA BUNGE, DAR ES SALAAM
View this document on Scribd
![](http://pixel.wp.com/b.gif?host=zittokabwe.wordpress.com&blog=12675215&post=3460&subd=zittokabwe&ref=&feed=1)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s72-c/IMG_6402.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAKABIDHIWA MRADI WA USIMIKAJI WA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA NA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s1600/IMG_6402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-69jpcFCMyl0/VNOG80KQAfI/AAAAAAAHCCg/bqVyUsveN2s/s1600/IMG_6404.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mn0-KAy7Q3w/VNOG9FDwWoI/AAAAAAAHCCo/onxYwiqfNwI/s1600/IMG_6415.jpg)
10 years ago
Michuzi03 Aug
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC LASHIRIKI MAONYESHO YA NANENANE MKOANI LINDI
![ni7](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/ni7.jpg)
Mkurugenzi wa Bima za Maisha Shirika la Bima la Taifa NIC Bi. Rose Lawa wa pili kutoka kulia na Elisante Maleko Kaimu Mkurugenzi wa masoko na Huduma kwa wateja kushoto pamoja na maofisa wengine wa shirika hilo wakiwa wakiwa na baadhi ya wateja waliojipatia bima ya maisha ya elimu ya katika banda lao kwenye maonyesho ya Nanenane yanayoendelea mkoani Lindi shirika hilo linashiriki katika maonyesho hayo.
![ni5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/ni5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
Matawi ya Shirika la Bima (NIC) nchini kote yaunganishwa na mkongo wa mawasiliano wa taifa
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa NIC Bw. Justin Mwandu akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma za shirika hilo kupitia mkongo wa taifa wa mawasiliano ambapo matawi yote nchini ya shirika hilo yameunganishwa pamoja na makao makuu ili kurahisisha huduma za bima zinazotolewa na Shirika hilo nchini kote, Amesema kwa sasa baada ya Kampuni ya simu ya TTCL kufanya kazi nzuri ya kuunganisha mtandao wa huduma za NIC nchini kote kupitia mkongo wa mawasiliano wa taifa mteja anaweza kuhudumiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HafFOFDDeHg/U2qWtrIEgVI/AAAAAAAFgJw/nLXNxtJSPX4/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu za Serikali awasilisha bungeni ripoti ya ukaguzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-HafFOFDDeHg/U2qWtrIEgVI/AAAAAAAFgJw/nLXNxtJSPX4/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9FFKhfOXtSo/U2qWtodK8hI/AAAAAAAFgJ0/mvbGPBqm6yA/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O18lWcj2g1o/U2qWvc3IS2I/AAAAAAAFgKA/neK-ru0aSx0/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-csU1wTmw8CE/U2qWvTswL-I/AAAAAAAFgKI/XGUDCcuUCIA/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Habarileo25 Dec
CUF wawasilisha taarifa za hesabu kwa CAG
BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi CUF, limesema chama hicho kimeandaa na kuwasilisha taarifa za fedha za chama hicho na kuziwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa na kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serika (CAG).