Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe
Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.
Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Rais apokea Ripoti ya CAG na kuagiza hatua kali zichukuliwe kwa wabadhirifu wa fedha za Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameviagiza vyombo vya Serikali kubaini maofisa wote wa Serikali wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za Serikali, ikiwa ni pamoja na kutoa malipo bila nyaraka zozote, kutumia fedha nje ya Bajeti na kutoa malipo bila idhini ya ofisa masuhuli, ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na hatua nyingine.
Aidha, Rais Kikwete ameagiza kuchukuliwa kwa hatua kali za kisheria kwa maofisa wote wa Serikali ambao wanahusika...
10 years ago
Habarileo13 Jun
Wabunge wahamasishwa kununua hati fungani
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu amewahamasisha wabunge kununua hati fungani zinazotolewa na Benki Kuu kama njia ya kuhifadhia fedha zao na kupata faida.
11 years ago
BBCSwahili26 Sep
Obama:hatua zichukuliwe dhidi ya Ebola
10 years ago
GPL
ZICHUKULIWE HATUA HARAKA KUEPUKA JANGA LA MAFURIKO
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Hatua kali zichukuliwe majanga ya meli Bahari ya Hindi
9 years ago
Mwananchi26 Nov
DRFA yaukata uongozi mpya wa Tefa, TFF yataka hatua za kinidhamu zichukuliwe
11 years ago
Habarileo07 May
Serikali yatoa kauli chenji ya rada
SERIKALI imesema chenji ya rada itahusika na ununuzi wa madawati na vitabu katika shule za Tanzania Bara pekee.
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Hatua ya kubadili umiliki wa hati ya ardhi kisheria