Wabunge wahamasishwa kununua hati fungani
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu amewahamasisha wabunge kununua hati fungani zinazotolewa na Benki Kuu kama njia ya kuhifadhia fedha zao na kupata faida.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Serikali sasa kuilipa PSPF kwa hati fungani
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe
Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.
Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wahamasishwa kupima saratani
WANAWAKE wote waliofikia umri wa miaka 30 wametakiwa kwenda kupima virusi vinavyosababisha saratani ya mlango wa kizazi.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Iringa wahamasishwa daftari la mkazi
WANANCHI mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la wakazi kwa lengo la kufanikisha upigaji kura katika chaguzi za serikali za mitaa na kuwezesha kupata kitambulisho cha uraia....
5 years ago
MichuziWAKULIMA WAHAMASISHWA KUWEKA AKIBA
Wito huo umetolewa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati alipotembelea Chama cha Ushirika wa Wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha umwagiliaji Mpunga Dakawa (UWAWAKUDA LTD) kwenye ziara ya Kikazi, Mkoani...
9 years ago
Habarileo17 Oct
Wanawake wahamasishwa kupiga kura
SHIRIKA lisilo la kiserikali ya Woman Wake Up (Wowap) limewataka wanawake wote kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka ambao watajali maslahi yao.
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
10 years ago
Habarileo10 Jun
Wahamasishwa kujenga nyumba za madaktari
WIZARA ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewataka wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Wabunge kusaidia ujenzi wa nyumba za madaktari ili waweze kutoa huduma za afya vijijini kwa muda wote.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wananchi wahamasishwa na taarifa TMA
IMEELEZWA hamasa ya wananchi kupata taarifa ya hali ya hewa imeongezeka baada ya majanga yanayotokea baharini. Kaimu Mkuu wa Shughuli za Hali ya Hewa kituo cha Zanzibar, Hafidhi Bakari, alibainisha...