WAKULIMA WAHAMASISHWA KUWEKA AKIBA
Wakulima wa Vyama vya Ushirika nchini wamepewa wito wa kuboresha maisha yao kwa kuweka akiba baada ya msimu wa mavuno ya mazao yao ili akiba hizo ziwasaidie hususan wanapopata changamoto mbalimbali za kimaisha.
Wito huo umetolewa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati alipotembelea Chama cha Ushirika wa Wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha umwagiliaji Mpunga Dakawa (UWAWAKUDA LTD) kwenye ziara ya Kikazi, Mkoani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Wanawake wahimizwa kuweka akiba
WANAWAKE nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao. Wito huo ulitolewa na mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali, wakati...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Watoto wafundishwa kuweka akiba UK
9 years ago
MichuziFNB YATANGAZA MSHINDI KAMPENI YA KUWEKA AKIBA
Kampeni hiyo inayohimiza utamaduni wa kujiweke akiba benki inawezesha mteja mmoja kati ya wanaoshiriki kujipatia zawadi nono ya shilingi milioni tano kila mwezi ambapo mshindi wa mwezi Oktoba ni Imelda Lutebinga ambaye amekabidhiwa zawadi hiyo jana na Francois Botha, Mkuu wa Huduma za Rejareja wa First National Bank Tanzania.
Akizungumza baada ya...
9 years ago
StarTV05 Jan
Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba ya fedha zao benki.
Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...
9 years ago
MichuziFNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.
Wito huo...
11 years ago
Mwananchi15 May
JK azindua M-pawa, ni kuweka akiba na kukopa kupitia simu
10 years ago
VijimamboWAKULIMA WA MAZAO YA HORTICULTURE WAHAMASISHWA KUUNGANA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eNIJGM8CpQs/XutMjQddinI/AAAAAAALubw/rJuO_P9THmAH3_oJ6A2jRAI7RqbSyoeKQCLcBGAsYHQ/s72-c/Mkenda.jpg)
SERIKALI YAPELEKA WATAALAM KUWEKA MIPAKA YA KUWA NA PORI LA AKIBA ZIWA NATRON
Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.
Katibu Mkuu...
11 years ago
MichuziCRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...