Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKULIMA WAHAMASISHWA KUWEKA AKIBA

Wakulima wa Vyama vya Ushirika nchini wamepewa wito wa kuboresha maisha yao kwa kuweka akiba baada ya msimu wa mavuno ya mazao yao ili akiba hizo ziwasaidie hususan wanapopata changamoto mbalimbali za kimaisha.

Wito huo umetolewa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati alipotembelea Chama cha Ushirika wa Wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha umwagiliaji Mpunga Dakawa (UWAWAKUDA LTD) kwenye ziara ya Kikazi, Mkoani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wahimizwa kuweka akiba

WANAWAKE nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao. Wito huo ulitolewa na mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali, wakati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafundishwa kuweka akiba UK

Watoto wametakiwa kujiunga kwenye makundi wakiwa shuleni ili kujiwekea akiba kuepuka madeni hapo baadae

 

9 years ago

Michuzi

FNB YATANGAZA MSHINDI KAMPENI YA KUWEKA AKIBA

Baada ya kuzindua kampeni inayohamasisha uwekaji akiba mwezi Oktoba, First National Bank Tanzania imemtangaza mshindi wa kwanza wa kampeni hiyo.
Kampeni hiyo inayohimiza utamaduni wa kujiweke akiba benki inawezesha mteja mmoja kati ya wanaoshiriki kujipatia zawadi nono ya shilingi milioni tano kila mwezi ambapo mshindi wa mwezi Oktoba ni Imelda Lutebinga ambaye amekabidhiwa zawadi hiyo jana na Francois Botha, Mkuu wa Huduma za Rejareja wa First National Bank Tanzania.

Akizungumza baada ya...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba  ya fedha zao benki.

Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...

 

9 years ago

Michuzi

FNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI

Meneja wa Wateja Binafsi wa First National Bank, Francois Botha na Meneja wa Usambazaji na Matawi wa benki hiyo wakizindua mpango maalum unaohamasisha Watanzania kujiwekea akiba na kujiwekea mustakabali salama kifedha. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es salaam leo Oktoba 1, 2015.
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.

Wito huo...

 

11 years ago

Mwananchi

JK azindua M-pawa, ni kuweka akiba na kukopa kupitia simu

Rais Jakaya Kikwete jana alizindua huduma mpya ya M-Pawa itakayosaidia wateja kuhifadhi na kukopa fedha kupitia simu za mkononi itakayoendeshwa kwa pamoja na kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Vodacom na Benki ya Biashara Afrika, CBA.

 

10 years ago

Vijimambo

WAKULIMA WA MAZAO YA HORTICULTURE WAHAMASISHWA KUUNGANA.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbarali, Alfred Mzurikwao, akizungumza na wakulima mbali mbali alipokuwa amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbarali katika sherehe za Wakulima zilizofanyika katika skimu ya umwagiliaji ya Ilaji iliyoko Mbarali mkoani Mbeya.Afisa wa TAHA, Isac Ndemanhile, akizungumza na wakulima zaidi ya 300 waliohudhuria sherehe za wakulima katika skimu ya Ilaji.Maafisa wa TAHA wakitoa maelezo kwa mgeni rasmi katika moja ya mashamba ya wakulima yanayoendeshwa kwa kufuata teknolojia...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAPELEKA WATAALAM KUWEKA MIPAKA YA KUWA NA PORI LA AKIBA ZIWA NATRON

SERIKALI imepeleka wataalam kwenda kuanza mchakato wa kuweka mipaka ya kuwa na Pori la Akiba (Game Reserve) la Bonde la Ziwa Natron na sehemu nyingine itakayokuwa na makazi ya watu (WMA).

Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.

Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA

Zaidi ya wajasiriamaili wanawake 1000 kutoka katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamepata mafunzo ya kuwajengea uwezo wakati wa tamasha la Mwanamke na Akiba, 2014 lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala.
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani