JK azindua M-pawa, ni kuweka akiba na kukopa kupitia simu
Rais Jakaya Kikwete jana alizindua huduma mpya ya M-Pawa itakayosaidia wateja kuhifadhi na kukopa fedha kupitia simu za mkononi itakayoendeshwa kwa pamoja na kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Vodacom na Benki ya Biashara Afrika, CBA.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAKULIMA WAHAMASISHWA KUWEKA AKIBA
Wito huo umetolewa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati alipotembelea Chama cha Ushirika wa Wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha umwagiliaji Mpunga Dakawa (UWAWAKUDA LTD) kwenye ziara ya Kikazi, Mkoani...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Wanawake wahimizwa kuweka akiba
WANAWAKE nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao. Wito huo ulitolewa na mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali, wakati...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Watoto wafundishwa kuweka akiba UK
5 years ago
CCM Blog
BENKI YA NMB NA SatF ZAZINDUA UTOAJI WA HUDUMA ZA KIDIJITALI KWA VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna (kushoto) na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara Ndogo na za Kati wa NMB - Filbert Mponzi (Kulia) wakiwa wameshika alama ya uzinduzi rasmi wa akaunti ya NMB Pamoja. Katikati ni Mteja wa NMB Bi. Zaina Mikidadi, kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB - Benedicto Baragomwa, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa wa Serikali wa NMB Alfred Shao na Kaimu Afisa Mkuu Rasilimali watu- Emmanuel Akonaay.
Benki ya NMB na kampuni ya Savings...
9 years ago
MichuziFNB YATANGAZA MSHINDI KAMPENI YA KUWEKA AKIBA
Kampeni hiyo inayohimiza utamaduni wa kujiweke akiba benki inawezesha mteja mmoja kati ya wanaoshiriki kujipatia zawadi nono ya shilingi milioni tano kila mwezi ambapo mshindi wa mwezi Oktoba ni Imelda Lutebinga ambaye amekabidhiwa zawadi hiyo jana na Francois Botha, Mkuu wa Huduma za Rejareja wa First National Bank Tanzania.
Akizungumza baada ya...
9 years ago
StarTV05 Jan
Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba ya fedha zao benki.
Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azindua Humuma ya M-PAWA ya Vodacom jijini Dar leo



10 years ago
MichuziFNB TANZANIA YAHIMIZA WATANZANIA KUWEKA AKIBA ZAIDI
BENKI ya FNB Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujijengea mustakabali salama kifedha kwa kuendelea kuweka akiba zaidi benki kupitia fursa ya mpango mpya wa benki hiyo wa “Weka akiba na ushinde”.
Wito huo...
11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Kukopa simu inasikika, kulipa ‘network’ mbovu!
HALI ya maisha yetu ya kawaida kwa Watanzania tulio wengi, hakuna ambaye hajawahi kukopa hata siku moja katika historia ya maisha yake yote tangu alipoanza kuwa na akili zake timamu,...