Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Iraq wapiga hatua dhidi ya IS

Wanajeshi wa Iraq wamepiga hatua kwenye operesheni yao dhidi ya wapiganaji wa Islamic State mjini Ramadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Iraq lapiga hatua dhidi ya IS

majeshi ya nchi ya Iraq kwa mara nyingine tena, yamepiga hatua kubwa katika juhudi zao za kuutwa kabisa mji wa Tikrit kutoka kwa IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yabaini wanajeshi hewa

Uchunguzi wa idara ya kupambana na vitendo vya rushwa nchini Iraq umebaini kuwa kuwepo kwa wanajeshi hewa wanaolipwa mishahara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq waimarisha doria

Wanajeshi watiifu wa serikali ya Iraq wameimarisha doria katika mji wa Samarra dhidi ya wanamgambo wa kundi la ISIS

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusajili Wanajeshi zaidi Iraq

Viongozi wawili wa juu katika ulinzi wa Marekani wamesema, hakuna uwezekano kwa Marekani kusajili wanajeshi wapatao 24,000 nchini Iraq mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq

Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.

 

10 years ago

Habarileo

Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mitaa

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, akielezea jambo kwa wanahabari.SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa mabasi yaendayo kasi wapiga hatua

MRADI wa mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umepiga hatua nyingine baada ya kupatikana kampuni ya washauri, itakayofanya kazi ya kuhakikisha wanapatikana watoa huduma muhimu kwa mradi huo, unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mkitaa

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, akielezea jambo kwa wanahabari.SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani