Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wa Iraq waimarisha doria

Wanajeshi watiifu wa serikali ya Iraq wameimarisha doria katika mji wa Samarra dhidi ya wanamgambo wa kundi la ISIS

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi washika doria Bujumbura

Jeshi nchini Burundi linapiga doria kwenye mitaa ya mji mkuu Bujumbura ambapo waandamanaji wameahidi kufanya maandamano

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afrika kusini kuanza Doria

Wanajeshi wa Afrika Kusini wataanza Doria kudhibiti vitendo vya ukatili dhidi ya watu kutoka mataifa ya Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi washika doria mjini Bangkok

Maelfu ya polisi pamoja na wanajeshi wamepelekwa katika mji mkuu wa Thailand Bangkok kwa jaribio la kuangamiza maandamano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq yabaini wanajeshi hewa

Uchunguzi wa idara ya kupambana na vitendo vya rushwa nchini Iraq umebaini kuwa kuwepo kwa wanajeshi hewa wanaolipwa mishahara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq wapiga hatua dhidi ya IS

Wanajeshi wa Iraq wamepiga hatua kwenye operesheni yao dhidi ya wapiganaji wa Islamic State mjini Ramadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusajili Wanajeshi zaidi Iraq

Viongozi wawili wa juu katika ulinzi wa Marekani wamesema, hakuna uwezekano kwa Marekani kusajili wanajeshi wapatao 24,000 nchini Iraq mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq

Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit

Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waimarisha ulinzi sikukuu ya Pasaka

 Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino MlowolaJESHI la Polisi limeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mwanza, ikiwemo katika Ziwa Victoria pamoja na makanisani wakati wa Sikukuu ya Pasaka, na kuhadharisha wananchi kutoa taarifa watakapopata shaka kuhusu watu, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani