Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq
Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Marekani kusajili Wanajeshi zaidi Iraq
Viongozi wawili wa juu katika ulinzi wa Marekani wamesema, hakuna uwezekano kwa Marekani kusajili wanajeshi wapatao 24,000 nchini Iraq mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
IS waua zaidi ya watu 300 Iraq
Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzjAFOsaWT0oINwcc-hZQP0m4UON*hkpkSMgMJzGhbZ-ZhAkOgMhOnXRv6sbVceGVni886NHkT7uF6V49hK8-ORu/yazid.jpg?width=650)
IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ
Raia wa Yazidi waishio nchini Iraq. KUNDI la wanamgambo wa Islamic State limewaua mateka takribani 300 ambao ni raia wa Yazidi kaskazini mwa Iraq.
Makamu wa rais nchini Iraq, Osama al-Nujifi ameyalaani mauaji hayo akiyataja kuwa ya kikatili. Taarifa zimeeleza kuwa watu hao waliuawa katika wilaya moja iliyo magharibi mwa mji wa Mosul siku ya Ijumaa. Wanamgambo wa Islamic State walithibiti maeneo yaliyo kaskazini mwa Iraq kwa...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Iraq yabaini wanajeshi hewa
Uchunguzi wa idara ya kupambana na vitendo vya rushwa nchini Iraq umebaini kuwa kuwepo kwa wanajeshi hewa wanaolipwa mishahara.
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wanajeshi wa Iraq waimarisha doria
Wanajeshi watiifu wa serikali ya Iraq wameimarisha doria katika mji wa Samarra dhidi ya wanamgambo wa kundi la ISIS
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Wanajeshi wa Iraq wauteka mji wa Tiqrit
Serikali ya Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeuteka mji wa kazkazini wa Tikrit kutoka kwa wapiganaji wa ISIS.
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Wanajeshi wa Iraq wapiga hatua dhidi ya IS
Wanajeshi wa Iraq wamepiga hatua kwenye operesheni yao dhidi ya wapiganaji wa Islamic State mjini Ramadi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5RO-aDWgK5W9gFoZS1xwSAnlmdkz1ACwKgCS9Ktz66SOkr6gLFsgh1DpW8K4d84DZdX7vY*S3D*cHKDq3DbHB4/1.jpg?width=644)
POLISI WAUA MGONJWA WA AKILI DALLAS, MAREKANI
Jason Harrison aliyeuawa na polisi kwa kupigwa risasi. Harrison akiwa amesimama mlangoni na bisibisi na polisi (kulia) akimwambia aitupe chini. …Akiondoka mlengoni ambapo polisi walimfyatulia risasi kadhaa.…
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Polisi waua raia St Louis nchi Marekani
Vurugu zimetokea katika mji wa Missouri nchini Marekani kufuatia kifo cha kijana mmoja Mmarekani mweusi kupigwa risasi na polisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania