Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS waua zaidi ya watu 300 Iraq

Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ

Raia wa Yazidi waishio nchini Iraq. KUNDI la wanamgambo wa Islamic State limewaua mateka takribani 300 ambao ni raia wa Yazidi kaskazini mwa Iraq.
Makamu wa rais nchini Iraq, Osama al-Nujifi ameyalaani mauaji hayo akiyataja kuwa ya kikatili. Taarifa zimeeleza kuwa watu hao waliuawa katika wilaya moja iliyo magharibi mwa mji wa Mosul siku ya Ijumaa. Wanamgambo wa Islamic State walithibiti maeneo yaliyo kaskazini mwa Iraq kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq

Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala

 

10 years ago

Vijimambo

TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI

Majeruhi katika shambulio hilo wakipatiwa huduma za kitabibu.Mmoja wa wanafunzi aliyejeruhiwa na Taliban akipatiwa huduma ya kwanza.Majeruhi akipatiwa huduma katika hospitali jijini Peshawar nchini Pakistani.Ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika mitaa ya Jiji la Peshawar.Magari ya kubeba wagonjwa wakielekea eneo la tukio.Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa mwanafunzi mmoja aliyeuawa na Taliban.Wanajeshi wakiwasili eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq

Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yawaua raia 300 wa Yazidi nchini Iraq

Maafisa nchini Iraq wanasema kuwa wanamgambo wa IS wamewaua mamia ya watu wa yazidi waliokuwa wakiwazuilia eneo lililo kaskazini mwa nchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ

Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waua watu 29 Borno

Kundi la wapiganaji waisilamu limewaua takriban watu 29 katika mji mmoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, jimbo la Borno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 27 Uturuki

Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani