IS waua zaidi ya watu 300 Iraq
Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzjAFOsaWT0oINwcc-hZQP0m4UON*hkpkSMgMJzGhbZ-ZhAkOgMhOnXRv6sbVceGVni886NHkT7uF6V49hK8-ORu/yazid.jpg?width=650)
IS WAUA RAIA 300 WA YAZIDI NCHINI IRAQ
Raia wa Yazidi waishio nchini Iraq. KUNDI la wanamgambo wa Islamic State limewaua mateka takribani 300 ambao ni raia wa Yazidi kaskazini mwa Iraq.
Makamu wa rais nchini Iraq, Osama al-Nujifi ameyalaani mauaji hayo akiyataja kuwa ya kikatili. Taarifa zimeeleza kuwa watu hao waliuawa katika wilaya moja iliyo magharibi mwa mji wa Mosul siku ya Ijumaa. Wanamgambo wa Islamic State walithibiti maeneo yaliyo kaskazini mwa Iraq kwa...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq
Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala
10 years ago
Vijimambo17 Dec
TALIBAN WAUA WATU 126 WAKIWEMO WANAFUNZI ZAIDI YA 100 NCHINI PAKISTANI
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv-dAcMhUAmYz6m1n8vWgbXh82QmaPg8Y91ETUWVDsBaFCnwFT-YjpwK6ynBfG1HcCx75UhcKWFDuyutT92PvIg/h.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvXw-v63J5zzDHETVrio4iQ2HACSDg6P*J4PeI-dmVpSJayA*HDe-CGSeN*7*qBMDVyGa*fyxgEbchueNO4N3vX/j.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvANAdEzrzqQwFmeW1zgfwwrTu-jaITbFhimF7-iVu-gYQwNLADjON*VBT-gW1Se*YF1bmfMQjW4CJempObpHIp/k.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBuyxpD65USitCqHa2YD*phhc1PdnBHmjJA4pw2ki*JhUDgsq8438hs8NftmjiEgCL3GUg0KXG5pkI0rFkL8VXek/l.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBs9Mhpks-LCGsgkNz5JKxF-j-BnKxRkPT15nk6bhXL7hq*O-t4a6V090wWIYooIu3MQPaY8CsiqNxp2c5LbD3kD/v.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBuDb5MDa3Y6*LzYZGiD9R2rE4nBG4xNUJfbJo1RIn0817AKzDJfQGsVLLzWutp8Xzr5eU8-g0cPo6lFpA70omIm/e.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBsILQRxPzpxX*Q4zBc8J6W5VqK7eI5kXQcwh3Cr8XnM8jUStTpAC4pcb2decSSr0kF6cTe44TNbzHbtTEwliBIn/a.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBs0WvPmWMxXSlaoWxA8us3Urb118kpsurNLy9qGhcruRn9IUKzvI6-keYg9RL5pk1NFjTTZz7FMuhtfCKI-0X0o/b.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBvFOkn5FtlMP99I*IzrgPzm5bTwgAb69NKxL73jHaaeQ7xwMn6j2GwdQccqM-paBpX1bUPa7S*N738UhFIF3pr0/c.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv8eBvd4fqfQb6SZQb7iFvvzMmDVHI55b09Y5U9MTcmqMoD76U2Hyy6jksZ7V7U4EkJ0OICSXzeYq9P-SRnrbAM/d.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBufWf*EUHPu*DmUgtrdWQvhfqWUL4WAYqM5qWESqAOFY7E76vYi-qHfElpZbSeXcUS-wG8AwpfHAGewDD563sgD/i.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBubEZdWggfDbvGhFzkUye7FRMmm5QQmBgptGZwLFzh2nEoTewe*Gbb9OSdoqu2NcPDuXAicyQG*Jhw-vINb1ePc/f1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/W8k9GghxLBv*aDTaHh7ZeaT57o2MabVJZmg4fOwgSytCTJv*ZY6jv-JkvJNoptp8VOqdeP3PdHBfQHMv-HTxgtwXQdtYQkw-/g1.jpg)
TAKRIBANI watu 126 wameuawa, wakiwemo wanafunzi zaidi...
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Muungano wa Marekani waua wanajeshi wa Iraq
Shambulio la angani la majeshi ya muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya wapiganaji wa Islamic State (IS) huenda limewaua wanajeshi wa Iraq.
10 years ago
BBCSwahili03 May
IS yawaua raia 300 wa Yazidi nchini Iraq
Maafisa nchini Iraq wanasema kuwa wanamgambo wa IS wamewaua mamia ya watu wa yazidi waliokuwa wakiwazuilia eneo lililo kaskazini mwa nchi.
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Magaidi waua watu 6 Kenya
Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Wapiganaji waua watu 29 Borno
Kundi la wapiganaji waisilamu limewaua takriban watu 29 katika mji mmoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, jimbo la Borno.
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mlipuko waua watu 27 Uturuki
Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania