Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq
Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini
Magari yakiungua wakati wa mlipuko huo.
Borno, Nigeria
WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.
Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.
“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
Takriban watu 100 wauawa Iraq
10 years ago
BBCSwahili22 May
Watu 10 wauawa na bomu msikitini Saudia
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
![Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa Somalia](https://media.parstoday.com/image/4bsf62bea2a6c61djed_800C450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
IS waua zaidi ya watu 300 Iraq
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Zaidi ya watu 60 wauawa Syria
9 years ago
BBCSwahili22 Nov
Zaidi ya watu 90 wauawa Myanmar