Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini

Bomb-Blast-GombeMagari yakiungua wakati wa mlipuko huo.

Borno, Nigeria

WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.

Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.

bomb-blast-explosion“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa na bomu msikitini Saudia

Takriban watu 10 wameuawa katika shambulizi la mlipuaji wa kujitolea muhanga katika msikiti mmoja wa Shia mkoa wa mashariki wa taifa la Saudi Arabia

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa kwa Bomu Nigeria

Watu 25 wameuawa kwa shambulio la bomu mjini Kaduna nchini Nigeria

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini

Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa kwa Bomu nchini Nigeria

Takriban Watu 17 wameuawa kwa Bomu mjini Biu nchini Nigeria

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu zaidi ya 60 wauawa kwa Bomu Iraq

Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka na kuwauwa zaidi ya watu sitini nchini Iraq,katika jimbo la Mashariki la Diyala

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu sita wauawa msikitini Nigeria

Watu sita wanahofiwa kufariki katika mji wa Maiduguri, Nigeria baada ya mshambuliaji wa kujitoa mhanga kujilipua katika msikiti mmoja mjini humo.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

9 years ago

BBCSwahili

Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen

Watu 12 wameuawa kwenye shambulio la bomu katika msikiti mmoja Sanaa siku mbili baada ya Rais wa Yemen Abdrabbuh Hadi kurudi Aden.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani