Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini
Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Watu 30 wauawa msikitini Nigeria
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Watu sita wauawa msikitini Nigeria
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Waumini wauawa msikitini Nigeria
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini
Magari yakiungua wakati wa mlipuko huo.
Borno, Nigeria
WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.
Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.
“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Watu 10 wauawa na bomu msikitini Saudia
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
watu 30 wauawa Nigeria
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Karibu watu 60 wauawa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili07 Jul
Watu 25 wauawa Zaria Nigeria
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Watu 18 wauawa na Boko Haram-Nigeria