Watu 25 wauawa Zaria Nigeria
Maafisa wa serikali Kaskazini mwa Nigeria wamesema watu 25 wameuawa katika shambulio la bomu la kujitolea mhanga katika mji wa Zaria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
watu 30 wauawa Nigeria
Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Karibu watu 60 wauawa Nigeria
Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema kuwa karibu watu 60 huenda waliuawa katika kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa nchi
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Watu 30 wauawa msikitini Nigeria
Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.
10 years ago
BBCSwahili31 May
Nigeria:Watu 29 wauawa msikitini
Watu 29 wameuawa kati mji mkuu wa jimbo la Borno Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya mlipuaji wa kujitoa mhanga kujilipua ndani ya msikiti.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Watu 32 wauawa kaskazini mwa Nigeria
Watu 32 wameuawa kwenye shambulio la bomu la kujitoa mhanga katika mji wa Yola, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Watu sita wauawa msikitini Nigeria
Watu sita wanahofiwa kufariki katika mji wa Maiduguri, Nigeria baada ya mshambuliaji wa kujitoa mhanga kujilipua katika msikiti mmoja mjini humo.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria
Watu zaidi ya 54 wameuawa na 90 kujeruhiwa kwenye milipuko mitatu ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria
Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa katika milipuko miwili mjini Abuja, Nigeria
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania