Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria
Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa katika milipuko miwili mjini Abuja, Nigeria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria
Watu zaidi ya 54 wameuawa na 90 kujeruhiwa kwenye milipuko mitatu ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Watu 10 wafariki katika milipuko Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa milipuko miwili, imetokea katika mji wa Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno state,
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Watu kadhaa waua katika milipuko Nigeria
Milipuko imetokea katika msikiti, na sehemu ya kuuza vyakula mjini Jos na mwingine wa kujitoa muhanga katika kanisa huko Patiskum
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Milipuko Abuja: Watu kadha wauawa
Watu kadha wameripotiwa kuuawa kutokana na milipuko miwili iliyotokea mjini Abuja,Nigeria
11 years ago
GPLWATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI
Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea eneo la Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana usiku. Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh. Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha usiku....
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri
10 years ago
GPLMILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA
Watu wasiopungua 30 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea karibu na kituo cha basi katika mji wa Jos, ulioko katikati mwa Nigeria. Walioshuhudia wanasema, bomu la kwanza lilitegwa kwenye kibanda cha kuuzia chakula na la pili karibu na mlango wa kuingilia katika soko la Termus kwenye mji huo. Duru za usalama za Nigeria bado hazijasema milipuko hiyo ya mabomu imesababishwa na kundi gani, lakini kundi la Boko...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania