Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milipuko Abuja: Watu kadha wauawa

Watu kadha wameripotiwa kuuawa kutokana na milipuko miwili iliyotokea mjini Abuja,Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu kadha wauawa shambulio Mogadishu

Watu kadha wameuawa kwenye shambulio la bomu na risasi mjini Mogadishu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria

Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa katika milipuko miwili mjini Abuja, Nigeria

 

11 years ago

GPL

WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI

Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea eneo la  Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana usiku. Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh. Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha usiku....

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria

Watu zaidi ya 54 wameuawa na 90 kujeruhiwa kwenye milipuko mitatu ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadha wauwawa karibu na Beni DRC

Shambulio jengine lafanywa mashariki mwa Congo na watu 30 wauwawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yawaua watu 50 Nigeria

Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri

 

9 years ago

BBCSwahili

Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria

Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wafariki katika milipuko Nigeria

Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa milipuko miwili, imetokea katika mji wa Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno state,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani