Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria
Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Turkey2343.jpg)
MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI
Majeruhi wakiokolewa kutoka eneo la tukio. Hali ya sintofahamu ikitanda eneo la tukio. Hali ilivyokuwa baada ya mashambulizi hayo Waliojeruhiwa wakisaidiwa na ndugu na jamaa zao.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA
Watu wasiopungua 30 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea karibu na kituo cha basi katika mji wa Jos, ulioko katikati mwa Nigeria. Walioshuhudia wanasema, bomu la kwanza lilitegwa kwenye kibanda cha kuuzia chakula na la pili karibu na mlango wa kuingilia katika soko la Termus kwenye mji huo. Duru za usalama za Nigeria bado hazijasema milipuko hiyo ya mabomu imesababishwa na kundi gani, lakini kundi la Boko...
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Mabomu yaua 12, yajeruhi watu 137
WATU 12 wameuawa na wengine 137 kujeruhiwa katika matukio tisa ya ulipuaji mabomu yaliyotokea katika mikoa ya Arusha, Morogoro, Lindi, Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar.
Aidha, watu 25 wamekamatwa katika tukio la ulipuaji bomu lililofanyika hivi karibuni katika eneo la darajani kisiwani Zanzibar, ambapo mtu mmoja alifariki. Watano kati ya watu hao, wameshafikishwa mahakamani.
Hayo yalisemwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, alipokuwa akijibu swali...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Milipuko ya mabomu: Mmefanya nini?
Wakati milipuko ya mabomu ikiongezeka nchini, hasa kwenye miji ya kitalii ya Arusha na Unguja, kumekuwa na sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu Serikali kutotoa mkakati thabiti wa kupambana na tatizo hilo linalozidi kuota mizizi.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar
Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar.
11 years ago
IPPmedia24 Feb
Milipuko miwili ya mabomu yaitikisa Zanzibar
IPPmedia
IPPmedia
Milipuko miwili imetokea leo Zanzibar maeneo tofauti na kuzua hofu, mmoja katika Hoteli ya Kitalii ya Mercury iliyopo eneo la Forodhani na kwenye lango la kanisa Kuu la Anglikana eneo la Mkunazini. Home » Editorial ...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Milipuko ya mabomu Arusha ina nia gani?
WAKATI matokeo ya uchunguzi wa milipuko ya mabomu ya awali katika Jiji la Arusha hayajajulikana, mlipuko mwingine wa bomu umetokea jijini humo na kujerhi vibaya watu zaidi ya 17 waliokuwa...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Jaji Maneto: Polisi wabebe lawama milipuko ya mabomu
Wakati matukio ya milipuko ya mabomu yakiendelea katika baadhi ya mikoa nchini, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Amir Manento amelinyooshea kidole jeshi la polisi kwa madai kuwa linahusika na baadhi ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu katika vipindi tofauti nchini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6nMzF1bMs9MRppPLLjb5W30ugUXOkqCUYLeifB90bWm3dIrNU7JLXlNTKVt1UwenofRTRc9nX0lJmjxtVPnM7K/1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania