MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI
Majeruhi wakiokolewa kutoka eneo la tukio. Hali ya sintofahamu ikitanda eneo la tukio. Hali ilivyokuwa baada ya mashambulizi hayo Waliojeruhiwa wakisaidiwa na ndugu na jamaa zao.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria
Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.
10 years ago
GPLMILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA
Watu wasiopungua 30 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea karibu na kituo cha basi katika mji wa Jos, ulioko katikati mwa Nigeria. Walioshuhudia wanasema, bomu la kwanza lilitegwa kwenye kibanda cha kuuzia chakula na la pili karibu na mlango wa kuingilia katika soko la Termus kwenye mji huo. Duru za usalama za Nigeria bado hazijasema milipuko hiyo ya mabomu imesababishwa na kundi gani, lakini kundi la Boko...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Mabasi yagongana, yaua zaidi ya watu 16
Zaidi ya watu 16 wamefariki dunia baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso jana saa 9:30 alasiri umbali wa kilomita tatu kutoka Sikonge.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mvua yaua watu watatu, kaya zaidi ya 70 zakosa makazi
Watu watatu wamefariki dunia na familia zaidi ya 70 zimekosa mahala pa kuishi, huku mifugo zaidi ya 150 ikisadikiwa kufa baada ya kukumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Arumeru mkoani Arusha. Â Â Â
11 years ago
GPL10 years ago
GPLMILIPUKO SOKONI YAUA 49 GOMBE, NIGERIA
(Picha na Maktaba) WATU 49 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea kwenye soko lililopo mjini Gombe, Nigeria wakati watu wakifanya manunuzi kwa ajili ya Sikukuu ya Eid jana jioni. Soko hilo lilikuwa limefurika watu waliokuwa wakijiandaa kwa ajili ya Sikukuu ya Eid na watu wengi waliopoteza maisha ni watoto na wanawake.
11 years ago
BBCSwahili04 May
Milipuko yaua katika mabas 2 Nairobi
Watu kadhaa wamehofiwa kufariki na wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko miwili katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Zaidi 40 wafa kwa milipuko Nigeria
Wafanyakazi wa uwokoaji Nigeria wanasema katika eno la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika mji wa Gombe watu arobaini wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya milipuko kutokea kwenye soko nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Milipuko yawaua watu 50 Nigeria
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya mabomu siku ya jumamosi kwenye mji wa Maiduguri
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania