Milipuko yaua katika mabas 2 Nairobi
Watu kadhaa wamehofiwa kufariki na wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko miwili katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 May
Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi
Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-ayC94LWTwLmIGTo38J7Zj9TMyoiZ07CgwcRDw1OWLpSxkFOZuGgKFmo9m1119rw1jLwffACLRrHPplm03wbkL/majeruhi.jpg)
WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI
Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea eneo la Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana usiku. Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh. Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha usiku....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm6nMzF1bMs9MRppPLLjb5W30ugUXOkqCUYLeifB90bWm3dIrNU7JLXlNTKVt1UwenofRTRc9nX0lJmjxtVPnM7K/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mjmCFREQxtonCKO4icVoNCcx3cLaIhEfM6VAcoc6cTu9n9Rqfzo-pQMFAuJBGIfdP3zL0MjPWT8Nv9abVwEVrR-/Yobeblast.jpg?width=650)
MILIPUKO SOKONI YAUA 49 GOMBE, NIGERIA
(Picha na Maktaba) WATU 49 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea kwenye soko lililopo mjini Gombe, Nigeria wakati watu wakifanya manunuzi kwa ajili ya Sikukuu ya Eid jana jioni. Soko hilo lilikuwa limefurika watu waliokuwa wakijiandaa kwa ajili ya Sikukuu ya Eid na watu wengi waliopoteza maisha ni watoto na wanawake.
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Milipuko ya mabomu yaua watu 20 Syria
Watu 20 wamefariki na wengine 40 kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya mabomu yaliyotegwa kwenye magari mjini Hassakeh, Syria.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Turkey2343.jpg)
MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI
Majeruhi wakiokolewa kutoka eneo la tukio. Hali ya sintofahamu ikitanda eneo la tukio. Hali ilivyokuwa baada ya mashambulizi hayo Waliojeruhiwa wakisaidiwa na ndugu na jamaa zao.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MILIPUKO YAUA WATU 30 KATIKATI YA NIGERIA
Watu wasiopungua 30 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea karibu na kituo cha basi katika mji wa Jos, ulioko katikati mwa Nigeria. Walioshuhudia wanasema, bomu la kwanza lilitegwa kwenye kibanda cha kuuzia chakula na la pili karibu na mlango wa kuingilia katika soko la Termus kwenye mji huo. Duru za usalama za Nigeria bado hazijasema milipuko hiyo ya mabomu imesababishwa na kundi gani, lakini kundi la Boko...
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Watu 10 wafariki katika milipuko Nigeria
Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa milipuko miwili, imetokea katika mji wa Maiduguri, mji mkuu wa jimbo la Borno state,
10 years ago
BBCSwahili06 Dec
Watu 7 wafariki katika milipuko Somalia
Takriban watu saba wamefariki katika milipuko miwili ya kujitolea muhanga katika mji wa Baidoa kusini mwa Somali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania