Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI

Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea eneo la  Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana usiku. Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh. Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha usiku....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Watu 54 wauawa katika milipuko Nigeria

Watu zaidi ya 54 wameuawa na 90 kujeruhiwa kwenye milipuko mitatu ya mabomu katika mji wa Maiduguri, Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria

Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa katika milipuko miwili mjini Abuja, Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko Abuja: Watu kadha wauawa

Watu kadha wameripotiwa kuuawa kutokana na milipuko miwili iliyotokea mjini Abuja,Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko yaua katika mabas 2 Nairobi

Watu kadhaa wamehofiwa kufariki na wengine kujeruhiwa kufuatia milipuko miwili katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi

Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh

 

9 years ago

StarTV

Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.

 

Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha  Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera  Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.

Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...

 

9 years ago

Global Publishers

Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini

Bomb-Blast-GombeMagari yakiungua wakati wa mlipuko huo.

Borno, Nigeria

WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.

Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.

bomb-blast-explosion“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa kwa Bomu Nigeria

Watu 25 wameuawa kwa shambulio la bomu mjini Kaduna nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen

Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani