Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/17/150617192956_sanaa_640x360_ap.jpg)
Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Watu 27 wauawa shambulio la mabomu Chad
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mamia wauawa katika mgogoro wa Yemen
9 years ago
StarTV03 Nov
Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.
Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.
Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-ayC94LWTwLmIGTo38J7Zj9TMyoiZ07CgwcRDw1OWLpSxkFOZuGgKFmo9m1119rw1jLwffACLRrHPplm03wbkL/majeruhi.jpg)
WATU 6 WAUAWA KWA MILIPUKO NAIROBI
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Watu 20 wauawa kwa bomu msikitini
Magari yakiungua wakati wa mlipuko huo.
Borno, Nigeria
WATU wapatao 20 wanasemekana kufa huko Maiduguri, Jimbo la Borno nchini Nigeria baada ya bomu kulipuka msikitini leo.
Kwa mujibu wa gazeti la Premium Times, wengi wa waliouawa wanaaminika ni wakazi wa eneo hilo ambao walikuwa wamekusanyika katika msikitu huo kufuatia uvumi kwamba kulikuwa na bomu lililokuwa limeachwa humo.
“Sijaona kitu cha kipumbavu kama hiki ambapo watu waliingia katika msikiti kuchunguza iwapo kweli kulikuwa na bomu. ...
11 years ago
BBCSwahili23 Jul