Watu 27 wauawa shambulio la mabomu Chad
Watu 27 wamefariki na wengine kadha kujeruhiwa baada ya washambuliaji wa kujitoa mhanga kujilipua katika kisiwa kilichoko katika Ziwa Chad.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Watu kadha wauawa shambulio Mogadishu
10 years ago
StarTV18 May
Watu 9 wauawa katika shambulio Marekani
Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki katika mkahawa mmoja katika mji wa Waco.
Hata hivyo watu wengine 18 walipelekwa hospitali kupatiwa matibabu kutokana shambulio hilo.
Maofisa katika mji huo wanasema kuwa walibaini mkusanyiko kati ya watu watano walioonekana kupanga jambo lisilo la kawaida.
Watu waliokuwa katika mkahawa huo walijificha katika chumba cha majokofu katika harakati za...
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Watu 3 wauawa katika shambulio Colorado
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Watu 11 wauawa katika shambulio Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
10 years ago
StarTV18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen

Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Wapiganaji 10 wa Boko Haram wauawa-Chad
10 years ago
GPL
BOKO HARAM 207 WAUAWA CHAD