Wapiganaji 10 wa Boko Haram wauawa-Chad
Wanachama kumi wa kundi la Boko Haram, wameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Chad N'Djamena
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Chad 'imewaua wapiganaji 100' wa Boko Haram
Jeshi la Chad linasema kuwa limewauwa zaidi ya wanamgambo 100 wa Boko Haram katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wyK9bAs*AkVhG5bSJP7JfNJXJM07dJxT-kuhKFssZUpwukaR41rw*38zJzY5PtutnS5MaMkxLvrBt0--jOyzpp2WA7Fl9hK7/chad.jpg?width=650)
BOKO HARAM 207 WAUAWA CHAD
Wanajeshi nchini Chad . JESHI la Chad limetangaza kuwa, wanamgambo mia mbili na saba wa kundi la Boko Haram wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon. Wanajeshi wa Chadi wakiendelea na ulizi katika eneo la Garambu lililoko katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon. Gazeti la Ufaransa la Le Figaro linaripoti kwamba,…
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/03/04/140304150654_nigeria_512x288_ap.jpg)
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno.
Msemaji wa jeshi Chris Olukolade amesema kuwa wapiganaji wachache wa kiislamu pia wamekamatwa.
Bado hakujatolewa taarifa zaidi kuthibitisha habari hizo.
Mataifa kadhaa ya magharibi mwa Afrika kama vile Niger, Chad...
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha
Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Boko Haram yashambulia Nigeria na Chad
Watu 15 wameuawa baada ya walipuaji wa kujitolea mhanga kushambulia mji muu wa Chad Djamena na Maiduguri Nigeria
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80650000/jpg/_80650826_80641740.jpg)
Chad 'forces Boko Haram from town'
Chad's army has driven Boko Haram militants out of Malumfatori town in north-eastern Nigeria, a senior official from Niger tells the BBC.
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Boko Haram yaua watu 40 Chad
Maafisa wa hospitalini wanasema zaidi ya watu 40 wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa kufuatia msururu wa milipuko nchini Chad.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania