Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa

Wanajeshi wa Nigeria wamesema kuwa wamewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa kundi la Boko Haram
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno.

Msemaji wa jeshi Chris Olukolade amesema kuwa wapiganaji wachache wa kiislamu pia wamekamatwa.

Bado hakujatolewa taarifa zaidi kuthibitisha habari hizo.

Mataifa kadhaa ya magharibi mwa Afrika kama vile Niger, Chad...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Boko Haram wauawa-Chad

Wanachama kumi wa kundi la Boko Haram, wameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Chad N'Djamena

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha

Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauwa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram,

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad 'imewaua wapiganaji 100' wa Boko Haram

Jeshi la Chad linasema kuwa limewauwa zaidi ya wanamgambo 100 wa Boko Haram katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram

Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram 70 wauawa .

Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavuvi 50 wauawa na Boko Haram

Wanamgambo wa Boko Haram wamefanya shambulizi lengine kubwa sana na kuwaua takriban wafanya biashara 50 wa kuuza Samaki katika ufuo wa ziwa Chad.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani