Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/03/04/140304150654_nigeria_512x288_ap.jpg)
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno.
Msemaji wa jeshi Chris Olukolade amesema kuwa wapiganaji wachache wa kiislamu pia wamekamatwa.
Bado hakujatolewa taarifa zaidi kuthibitisha habari hizo.
Mataifa kadhaa ya magharibi mwa Afrika kama vile Niger, Chad...
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Wapiganaji 10 wa Boko Haram wauawa-Chad
Wanachama kumi wa kundi la Boko Haram, wameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Chad N'Djamena
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha
Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauwa
Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram,
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Chad 'imewaua wapiganaji 100' wa Boko Haram
Jeshi la Chad linasema kuwa limewauwa zaidi ya wanamgambo 100 wa Boko Haram katika kipindi cha majuma mawili yaliyopita.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Cameroon 'yaua' wapiganaji 100 wa Boko Haram
Wizara ya ulinzi nchini Cameroon imesema majeshi ya serikali yameua takriban wafuasi 100 wa kundi la wanamgambo wa kiislamu la Nigeria Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Boko Haram 70 wauawa .
Jeshi la Nigeria limetoa ripopoti kua mpaka sasa limekwisha waua wapiganaji 70 kutoka katika kikundi cha kiislam cha BOKO HARAM.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Wavuvi 50 wauawa na Boko Haram
Wanamgambo wa Boko Haram wamefanya shambulizi lengine kubwa sana na kuwaua takriban wafanya biashara 50 wa kuuza Samaki katika ufuo wa ziwa Chad.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania