Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram yashambulia Nigeria na Chad

Watu 15 wameuawa baada ya walipuaji wa kujitolea mhanga kushambulia mji muu wa Chad Djamena na Maiduguri Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOKO HARAM YASHAMBULIA CHUO NIGERIA, 12 WAJERUHIWA VIBAYA

Shambulio la Boko Haram nchini Nigeria. Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa. Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa...

 

10 years ago

BBC

Chad bombs Boko Haram in Nigeria

Chad's military carries out airstrikes against suspected militant positions in neighbouring Nigeria, in response to Monday's twin suicide bombings.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad na Nigeria kuwakabili Boko Haram

Serikali ya Chad imewaondoa wapiganaji wa kundi la Boko Haram waliokuwa katika mji wa Malumfatori Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yashambulia zaidi

Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBC

Chad's Boko Haram fight 'hampered'

Chad's President Idriss Deby says fight against Boko Haram militants is being hampered by poor co-ordination between his country and Nigeria.

 

10 years ago

BBC

Chad 'forces Boko Haram from town'

Chad's army has driven Boko Haram militants out of Malumfatori town in north-eastern Nigeria, a senior official from Niger tells the BBC.

 

9 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yaua watu 40 Chad

Maafisa wa hospitalini wanasema zaidi ya watu 40 wameuawa na wengine 50 kujeruhiwa kufuatia msururu wa milipuko nchini Chad.

 

9 years ago

BBC

Chad executes Boko Haram fighters

Chad executes 10 members of the Islamist militant group Boko Haram, a day after they were found guilty of terror crimes.

 

10 years ago

GPL

BOKO HARAM 207 WAUAWA CHAD

Wanajeshi nchini Chad . JESHI la Chad limetangaza kuwa, wanamgambo mia mbili na saba wa kundi la Boko Haram wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon. Wanajeshi wa Chadi wakiendelea na ulizi katika eneo la Garambu lililoko katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon. Gazeti la Ufaransa la Le Figaro linaripoti kwamba,…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani