Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOKO HARAM YASHAMBULIA CHUO NIGERIA, 12 WAJERUHIWA VIBAYA

Shambulio la Boko Haram nchini Nigeria. Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa. Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATU 12 WAJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOKO HARAM KUSHAMBULIA CHUO NIGERIA

 Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa.Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa mabomu.Vyombo vya habari nchini Nigeria vimeripoti kuwa, shambulizi hilo lilifanyika katika Chuo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yashambulia Nigeria na Chad

Watu 15 wameuawa baada ya walipuaji wa kujitolea mhanga kushambulia mji muu wa Chad Djamena na Maiduguri Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram yashambulia zaidi

Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram Wateka Chuo Cha Polisi

Chuo kinachozalisha maofisa wa polisi nchini Naigeria kimetekwa na Boko Haram

 

10 years ago

BBC

Nigeria and US to discuss Boko Haram

Nigeria's President Buhari is meeting his US counterpart, Barack Obama, in Washington to discuss Boko Haram and the recovery of stolen money from US bank accounts.

 

10 years ago

BBC

Nigeria 'in talks with Boko Haram'

Nigeria says it is still holding talking with Boko Haram, two weeks after the government said it had agreed a truce with the Islamist militant group.

 

10 years ago

BBC

Nigeria's Boko Haram 'has new leader'

The Nigerian-based Islamist militant group Boko Haram has a new leader who is open to dialogue, says Chad's President Idriss Deby.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutawakabili Boko Haram:Nigeria

Msemaji wa rais wa Nigeria,Muhammadu Buhari,amesema amejipanga kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram washambulia Nigeria

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram, wanashukiwa kuhusika katika shambulizi jingine huko mji Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani