Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen
Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Watu 27 wauawa shambulio la mabomu Chad
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z3kUrcMmYL*nsVfzQerIFc76aK4YCgqU6QfWMpZYOSjYZ1d8iZOQNay0oO0InFATgS32i9e26gzWVrXs6oupULH/EarthQuake.jpg?width=650)
WATU 560 WAUAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Watu 9 wauawa kwa kupigwa risasi kwenye chuo nchini Marekani
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Watu 28 wauawa nchini China
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Watu tisa wauawa nchini Marekani