Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
Wanamgambo wa Al- shabab wamekuwa wakifanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi nchini Somalia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/17/150617192956_sanaa_640x360_ap.jpg)
Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Saba wauawa Puntland , Somalia
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Watu 27 wauawa shambulio la mabomu Chad
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Watu 3 wauawa katika vita Somalia
10 years ago
Habarileo10 Oct
Watu saba wauawa, nyumba 20 zateketezwa
WATU saba wameuawa na nyumba zaidi ya 20 kuchomwa moto katika vurugu zilizodaiwa kuanzishwa na wananchi katika Kijiji cha Murufiti, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, chanzo chake kikiwa imani za ushirikina. Habari zilizopatikana kutoka wilayani Kasulu na baadaye kuthibitishwa na Polisi, zinasema vurugu hizo zilitokea juzi usiku na watu waliouawa, walikuwa wakituhumiwa kujihusisha na ushirikina.