Saba wauawa Puntland , Somalia
Polisi nchini Somalia wanasema kuwa takriban watu Saba wameuawa kwenye shambulizi katika eneo linalojisimamia la Puntland.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
Wanamgambo wa Al- shabab wamekuwa wakifanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi nchini Somalia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKMt1jjgcZCjai2I--LPHlwjVQc84H1TJRKBpIqFJUzk017*qiuZbiU3XOrT3D*YDHcUTNClF0Gq3mJe81h4LC8L/alshabaab.jpg?width=650)
AL SHABAB YASHAMBULIA OFISI YA UN PUNTLAND, SOMALIA
Kikundi cha wapiganaji cha Al Shabaab. Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab leo tena kimefanya shambulio katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika mji wa Garowe huko Puntland nchini Somalia. Habari zinasema kuwa, shambulio hilo lilikuwa la kujilipua kwa mabomu limesababisha vifo vya watu wanaokaribia kumi wakiwemo raia nwa Kenya wawili. Taarifa kutoka kutoka kwa Ofisa wa polisi ya mji wa Garowe, Mohamed Abdi amesema mlipuko huo...
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia
Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Askari watatu wa AU wauawa Somalia
Jeshi la kulinda amani la Umoja wa Afrika nchini Somalia limesema askari wake watatu wameuawa nchini Somalia
11 years ago
BBCSwahili13 May
10 wauawa katika mapigano Somalia
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika makabiliano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji wanaounga mkono utawala wa muda wa eneo la Buulo Haawo
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
9 wauawa kwenye shambulizi Somalia
Shambulizi la kujitoa mhanga kusini mwa Somalia limewaua takriban watu 9 katika kituo kimoja cha kutoa mafunzo ya kijeshi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania