Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia

Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 70 wa Alshabaab wauawa

Mamlaka kusini mwa Somali inasema kuwa zaidi ya wapiganaji 70 wa kundi la Alshabaab waliuawa katika mapigano siku ya jumamosi

 

9 years ago

BBCSwahili

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya

Utawala nchini Somalia umeviamrisha vyombo vya habari nchini humo kulipa kundi la wanamgambo wa Al Shaabab jina mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi 2 wa Alshabaab wauawa kwa bomu

Viongozi wawili wa kundi la wapiganaji wa kiislamu wa Al shabaab nchini Somalia wameuawa kwenye shambulio la mabomu ya angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 10 wa Taleban wauawa na IS

Jeshi la Afghanistan limesema wanachama kumi wa kundi la Taliban wameuliwa na wapiganaji wa Islamic State walioko mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 27 wauawa Misri

Wanamgambo 27 wa kiislamu wameuawa kwenye oparesheni kubwa ilioendeshwa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai Kaskazini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 38 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limeauawa wapiganaji 38 wa Boko Haram wakati wa mapambanao dhidi ya kundio hilo katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa nchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa kipalestina wauawa Gaza

Wanamgambo tisa wa kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya angani yaliyofanywa na Israel katika ukanda wa Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 53 wa Boko Haram wauawa

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi lao katika eneo la Damboa .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani