Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab
Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia
Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.
10 years ago
BBCSwahili04 May
Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya
Utawala nchini Somalia umeviamrisha vyombo vya habari nchini humo kulipa kundi la wanamgambo wa Al Shaabab jina mpya.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Jaribio la kombora jipya lawaua kimakosa wanajeshi 19 wa Iran Ghuba ya Oman
Wanamaji 19 walifariki wakati meli yao iliposhambuliwa wakati wa jaribio la kombora jipya
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Somalia yawakataa wanajeshi wa S.Leone
Wanajeshi wa Sierra Leone wameondoka nchini Somali na hakuna wanajeshi wengine wa taifa hilo watakaochukua mahala pao
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Wanajeshi wa Kenya kusalia Somalia
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekariri kuwa wanajeshi wa Kenya watasalia nchini Somalia, kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Wanajeshi watibua shambulizi Somalia
Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo.
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Wanajeshi wa Somalia wauawa kwa Bomu
Wanajeshi watano wa Somalia na Afisa wa Jeshi wameuawa kwa mlipuko wa Bomu mjini Mogadishu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania