Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia

Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia:Alshabaab lapewa jina jipya

Utawala nchini Somalia umeviamrisha vyombo vya habari nchini humo kulipa kundi la wanamgambo wa Al Shaabab jina mpya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kombora jipya lawaua kimakosa wanajeshi 19 wa Iran Ghuba ya Oman

Wanamaji 19 walifariki wakati meli yao iliposhambuliwa wakati wa jaribio la kombora jipya

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yawakataa wanajeshi wa S.Leone

Wanajeshi wa Sierra Leone wameondoka nchini Somali na hakuna wanajeshi wengine wa taifa hilo watakaochukua mahala pao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Kenya kusalia Somalia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekariri kuwa wanajeshi wa Kenya watasalia nchini Somalia, kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watibua shambulizi Somalia

Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Somalia wauawa kwa Bomu

Wanajeshi watano wa Somalia na Afisa wa Jeshi wameuawa kwa mlipuko wa Bomu mjini Mogadishu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani