Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab
Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ebola:Maafisa wa afya waliuawa
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Kova: Askari polisi waliuawa kigaidi
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova-300x200.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
KOKU DAVID NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amesema tukio la kuuawa kwa askari polisi wawili wilayani Mkuranga juzi, lina dalili za ugaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda Kova alisema wanahisi kuna dalili za kigaidi kutokana na mazingira ya tukio lenyewe.
Alisema watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao 10...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:
Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w
Mwandishi Wetu
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3
KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.
Mwandishi Wetu
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
MSF sasa yasema watu 42 waliuawa Kunduz
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa- 2
LEO ndugu wasomaji nawaletea makala inayomhusu Rais wa 20 wa Marekani, aliyekaa madarakani kwa si
Mwandishi Wetu