Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi 19 wa UG waliuawa na Alshabaab

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anasema kuwa wanajeshi wake 19 waliuawa kwenye shambulizi lililoendeshwa na wanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na wengine sita bado wakiwa hawajulikani waliko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa

Ripoti ya uchunguzi uliofanywa na madaktari wa Congo kuhusu vifo vya wanajeshi wake inaonyesha kwamba huenda waliuawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Maafisa wa afya waliuawa

Guinea imepata miili ya maafisa wa Afya walioshambuliwa wakiwa wameenda kijijini kuwahamasisha watu

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia

Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia

 

10 years ago

Mtanzania

Kova: Askari polisi waliuawa kigaidi

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

KOKU DAVID NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amesema tukio la kuuawa kwa askari polisi wawili wilayani Mkuranga juzi, lina dalili za ugaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda Kova alisema wanahisi kuna dalili za kigaidi kutokana na mazingira ya tukio lenyewe.
Alisema watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao 10...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:

Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3

KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

BBCSwahili

MSF sasa yasema watu 42 waliuawa Kunduz

Shirika la madaktari wasio na mipaka (MSF) limesema watu waliouawa kwenye hospitali ya shirika hilo Kunduz, Afhanistan ni 42.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa- 2

LEO ndugu wasomaji nawaletea makala inayomhusu Rais wa 20 wa Marekani, aliyekaa madarakani kwa si

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani