Kova: Askari polisi waliuawa kigaidi
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
KOKU DAVID NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amesema tukio la kuuawa kwa askari polisi wawili wilayani Mkuranga juzi, lina dalili za ugaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda Kova alisema wanahisi kuna dalili za kigaidi kutokana na mazingira ya tukio lenyewe.
Alisema watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wapatao 10...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi31 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s72-c/unnamed.jpg)
KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9_KtKpE10g/VICFgf43J3I/AAAAAAAG1TM/ncRy9tFDdI8/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KwGUABda70o/VICFgo2WBvI/AAAAAAAG1TQ/I6Y7Kk1iem8/s1600/unnamedc1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HseiQHfLehw/VICFgZEJD-I/AAAAAAAG1TU/0ft8cGz3xzU/s1600/unnamedc.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Kova awatimua kazi askari wanne
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafukuza kazi askari wake wanne kwa makosa ya utovu wa nidhamu, ikiwemo kujihusisha na vitendo vya ujambazi. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
Habarileo05 Jan
Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Polisi: Shambulizi la kisu London ni la 'kigaidi'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68z5m-Q3fTB2WM*tp9WRvSBw9LLBqz4tY1UBPSMlXsakf3kV32rJsya4X-QWhybFpzWjGjXBHVD1hyY0PiVhvPFU/TANGA3.jpg?width=600)
TASWIRA KUTOKA TANGA KATIKA MAPAMBANO YA POLISI NA KUNDI LA KIGAIDI
10 years ago
MichuziKAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...